Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

Alaf kuna kitu umenisanua kaka, inakuaje kutongoza inakuwa shida kupata mwanamke siku hizi inanifanya natafuta madada poa tu, natongoza sana wanawake wa mitaani siwapati wananipotezea.

Naona najitia mikosi, kuna kipindi nlikuwa kwenye maombi na kutumia tiba ya chumvi ya mawe mikosi ilipungua mpaka nikajikuta nimefanikiwa kwenye jambo adhim la kuendesha maisha yangu na kuweza kujitegemea mwenyewe.

Sasa naona nimezidi katika uraibu wa kupenda ngono kupita kiasi.

Hili lazma nilitafakari kuna roho chafu inanitembelea sio siri.
😴
 
Sahihi kabisa, hongera kwa uzi mzuri. Watu wengi waliofanikiwa katika jambo fulani wana kitu in common, wengi wana uwezo wakusema "no" na "yatosha".

Kama kijana una uraibu wa kitu chochote, safari ya mafanikio umeshapishana nayo.
Thanks for the compliment, na njia sahihi ni kuacha vile vitu vibaya mtu anavyo vihusudu
 
FB_IMG_17001545890853968.jpg
 
Back
Top Bottom