To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😂💆5. Uraibu wa motivational speakers....
Vijana wanapenda sana kuambiwa cha kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂💆5. Uraibu wa motivational speakers....
Vijana wanapenda sana kuambiwa cha kufanya
Mzee ujana kwangu unakuja vibaya, yaan nakuwa na hisia hadi mwili unapata motoTiba halisi Ina toka ndani yako mzee, kwa kuwa ume kiri Ina paswa uchukue hatua.
👉Omba Toba ili mkono wa MUNGU ukuone.
👉Tambua hasara ya hicho unacho kifanya, Kuna hasara za kifedha na muda pia
Majanga sanaHapo kwenye betting ni janga la kitaifa.
Nimeshuhudia zaidi ya mara moja watu wazima above 50 nao wakifanya hilo jambo sasa hujiuliza kama mzee zaidi ya 50 anafanya hivi ataweza kweli kumpa kijana wake aliyekosa ajira rasmi ramani ya kutoka kivingine?
Uko sahihi, na uraibu mwingine ni ujuaji wa vijana🤒🤒🤒5. Uraibu wa motivational speakers....
Vijana wanapenda sana kuambiwa cha kufanya
Kaka fanya maombi Kaka, tumia tiba ya chumvi ya mawe ni msaada piaMzee ujana kwangu unakuja vibaya, yaan nakuwa na hisia hadi mwili unapata moto
Nani tena kakiwasha🤔🤒Kivumbi leo...
daah🤣🤣sawa binti umesomeka kimtindo
Huu nao ni uraibu ukizidi shekhe, Yajue malengo yako ili usitoke njia kuu.Life is all about money 💰
Kaka hata huo ni uraibu,usi cheke cheke hovyo mbele ya watu🤒daah🤣🤣
kununa pia ni uraibu mkuuKaka hata huo ni uraibu,usi cheke cheke hovyo mbele ya watu🤒
Alaf kuna kitu umenisanua kaka, inakuaje kutongoza inakuwa shida kupata mwanamke siku hizi inanifanya natafuta madada poa tu, natongoza sana wanawake wa mitaani siwapati wananipotezea.Kaka fanya maombi Kaka, tumia tiba ya chumvi ya mawe ni msaada pia
i gat yah point ma brother so well wellfundi bishoo do you get me
Wengine ni ma moderator, so wapo kazini🤒🤒kununa pia ni uraibu mkuu
na unazungumziaje hawa wenye uraibu wa kuingia jf kila mda
I mean no malice to nobodyi gat yah point ma brother so well well
Dunia Ina Siri mzee, watu Hawa taki tujue Malengo yetu halisi ni yapi.Alaf kuna kitu umenisanua kaka, inakuaje kutongoza inakuwa shida kupata mwanamke siku hizi inanifanya natafuta madada poa tu, natongoza sana wanawake wa mitaani siwapati wananipotezea...
What is the meaning no malice to nobodyI mean no malice to nobody
no intention of harming anyone in any situation. (Physical or mentally)What is the meaning no malice to nobody
Daah yaan najiona napoteza hela tu kwa kutafuta madada poa ambao hata shukran hawana wao hela mbele tu.Dunia Ina Siri mzee, watu Hawa taki tujue Malengo yetu halisi ni yapi.
👉Endelea na tiba ya chumvi
na sio kutafuta binti was kuwa nae kwa ajili ya ngono tu.(la hasha).Daah
Daah yaan najiona napoteza hela tu kwa kutafuta madada poa ambao hata shukran hawana wao hela mbele tu.
Nitajikagua kaka hii hali si ya kawaida