Uraibu ndiyo chanzo cha wengi kufeli katika maisha yao

Wife hakupi mikosi na nuksi ?🤣
Au yeye mikosi yake ni yako na yako ni yake hadi kifo kitakapowatenganisha?
Ndoa ime Barikiwa Kaka, Japo Kuna suala la nyota Tena🤒.

Ila ndoa ni muunganiko wa kiroho ma mwili, so hiyo si sawa na kuvaa pulizio ili ungije
 
Serikali ndo chanzo cha haya yote
 
Kutumia madawa sisupport ila how do u measure ngono iliyokithiri..wat is the limit..na hio limit kaweka nani kwa misingi ipi..all in all unachofanya ni kukataza watu vitu ambavyo either we unaogopa, hupati au hupendi.
Awap kuna watu wamezid unakut mtu kila siku anagonoka mwil utaisha
 
Binafsi naona addiction kubwa tulionayo vijana ni screen time, simu muda wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…