Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Ni kweli hajawagusa wanasiasa wenzie wanao husishwa na ufisadi au ubadhirifu wa mali za umma. Lakini naona juhudi za kuzuia wasitokee wanasiasa wengine wengi watakao fanya ufisadi uliokufuru bila woga kama awamu zilizopita.

Angalau yeye ana anzia hapa ingawa siso tunapenda angelianzia na wa awamu zile kuwawajibisha kisheria.
 
Utaratibu huo ulikuwepo hata kwa awamu zilizopita sema umesahau, mfano mbatia aliteuluwa kuwa mbunge na JK
Hawa ni watu wa ajabu sana.Yani wao wanaamini kila kinachotokea leo ni kipya
 
Hao wananchi wanaosema bora afe si ndio haohao bavicha?Hizi siasa za kuombea mabaya zimeanza toka 2015.Kumbuka kifo cha Celine kolimba wapinzani walifurah sana, akaja nape kupata ajali wapinzani waliomba kwanini hajafa. So unachokiona kwa bavicha kuombea jpm afe sio kigeni hata kidogo labda kama siasa umeanza leo
 
Kwa hiyo hapo nape anamwambia membe asiharibu kuzima taa maana ukumbini wako wote wanaweza kupigana kumbo wakitoka nje
 
Dah shida ya Serengeti huwa na misimamo yao waliyokarrshwa tayar. Unaulizwa huko uvccm waliisha watu hata akateuliwa mbatia wa nccr?
Wewe sijui unaelewa au umechanganyikiwa hao wakina waitara wameteuliwa na magufuli? Je wamebaki kuwa wabunge wa chadema au wa ccm? Walikuwa raia wa kawaida au wamejivua nyadhifa zao

Serengeti wanakuja huko wanakuwa viongozi wako wakina katambi,gekul na waitara magufuli anawanyoosha sana mnawaita nyumbu wakija huko mabosi wenu.
 
Nakumbuka mshana alishawahi kutangaza kuhama jukwaa la siasa,nashangaa kuona leo yupo jukwaani,ni lini alibatilisha uamuzi wake?
 
Unafanya mabadiliko ndani ya familia, unaanza kufukuza mke, unaua watoto, unauza nyumba, hufai kuwa baba,

soma ulichoandika alafu fikirisha ubongo wako utaelewa namaanisha nini
 
Unafanya mabadiliko ndani ya familia, unaanza kufukuza mke, unaua watoto, unauza nyumba, hufai kuwa baba,

soma ulichoandika alafu fikirisha ubongo wako utaelewa namaanisha nini

Hekima mpe mwenye hekima ili azidi kuwa na hekima
 
Kila kete itatumiwa kwa asilimia mia moja
By far the top guy has been one step ahead of so many who underrated him.
In this game jasusi will lose....hivi hatukushangaa RA kuja baada ya muda mrefu? There was a reason....and RA still is the man who could organize those sort of moves.
Kitu ambacho mchaga ameshindwa....sidhani kama kule kwetu umakondeni kitafanyika
 
Nenda peke yako huko Misri...ila ujue hutaweza kubadilisha mwendo maana wale waliobisha Ile safari waliishia jangwani....hawakurudi Misri na wala hawakufika Caanan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…