Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uwanja wa Chato?

Kuwalipa wastaafu 25%?

Kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari?

Kuua wapinzani?

Hivi unajisikia unachosema??
 
Mshana naheshimu mchango,wako, ila nina swali moja ...
Hv nyie mnaosema BM hatoshi Je mnazingatia nn hasa..
Na je kwani,huyu aliyepo anatosha..?

Majib please
 
We kibinti acha ujinga Mimi ntakuwezaje wakat unakung'utwa na jiwe.
 
Pendekezo lako ni jema sana lakini hiyo katiba mpya tutaipata wapi na kwa nani?[emoji848]
Katiba Mpya itatokana na sisi wananchi...cha msingi ni kupaza sauti...ipo siku milango ya gereza itafunguka...cha msingi ni kujiamini na kuwa na umoja....

Kama namba tunasoma wote, basi umoja upo karibu....wafanyakazi na wakulima wote wanalia...Katiba ipo karibu...ngoja kuni za wastaafu zichochewe tu...katiba ipo njiani....
 
Tunataka mkali + hapana asiwe mkali + tunataka anayesafiri + hapana hatutaki Vasco dagama + tunataka anayecheka + hapana hatutaki anayecheka cheka = ?
 
Tunataka mkali + hapana asiwe mkali + tunataka anayesafiri + hapana tunataka asiyeenda nje + tunataka anayecheka + hapana hatutaki anayecheka cheka = ?
Unamaanisha kuwa hatujui tunachokitaka au?[emoji848]
 
Natamani sana iwe hivyo ila huu umoja wetu ndio unaonipa wasiwasi
 
Kwani Magu anafanya nn pale ikulu hadi membe ashindwe. Kuteua na kutengua? . 2020 twende na membe
 
Kwa jicho langu la 3 sijaona chochote Membe atakuja kufanya kumpiku JPM, JPM ni Rais mwenye maono makubwa! Naimani mpaka JPM anastafu 2025 Tanzania itakuwa mbali!

Membe ni mpigaji tu! gas itauzwa yote mikataba yote ya ovyo itarudi wapigaji watarudi kwenye system.

Sikumchagua JPM ili aje anipe ugali maana nilijua ifikapo mbeleni mi mwenyewe ndiye nitaangaika kuhakikisha napata ugali.

JPM endelea kuchapa kazi, tengeneza mazingira mazuri ya miundombinu ya barabara, reli, meli na ndege maana ndiyo kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi.

Niko tayari kumpigania JPM.
 
Kuitambua hatima ya CCM siku zijazo ni kazi sana unaweza omba miwani ili uone vizuri.Ni wachahe sana wanaoaminiana njia rasmi ya kuiokoa CCM ni kutumia polis na TISS ila hadi lini itakuwa hivi nadhani inabidi tutambue hiki ni kizazi kingine kizazi kinachotaka mabadiliko ya haraka tuwekeze kwa vijana.
 
Jiwe ni gunia la misumari. Ni muuaji, watanzania hawamhitaji tena. Anaua wastaafu kimya kimya.
 
tusimlishe maneno.
CCM ni chama imara chenye mfumo madhubuti, mihula miwili ya urais ni sehemu ya utaratibu wa kudumu na unaheshimiwa na kila mwanachama mtiifu wa ccm akiwemo BM kamwe hawezi kuwa muuasi labda awe nje ya ccm lkn sio ndani ya ccm
utaratibu wa zanzibar na bara mbona haupo tena
 
We kibinti acha ujinga Mimi ntakuwezaje wakat unakung'utwa na jiwe.

Ha ha ha haaaaaaa
Eeeeeeeh
Yaani unaonyesha kweli awamu hii πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰

Ukionana nae mwambie Cocochanel ni shabiki wake na nitapenda kumsalimia.. usisahau akiwa mahala uwe unanishtua ikiwa ni area niliyopo nitaenda nimuone.. hata kwa mbali maana sijawahi kumuona uso kwa uso.

Kwa sasa pokea tu πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’€πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…