Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Mkuu usiogope kibarua chako kama ni halali basi utaendelea nacho.

But 2020 tunaenda na MEMBE
 
Punguza hasira wanaccm tutampiga chini magufuli hatufai, 2020 twende na membe
 
Dogo tuliza tigo hiyo 2020 twende na membe
 
Tangu lini mpinzani akishinda anatangazwa nchi hii,
 
Hii ni mipango ya aliyeko madarakani, kumharibia kila mtu na kumpa yeye uhalali wa kipindi cha pili.
 
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
 

Kwani Mke akiwa mzuri kwako lazima awe mzuri kwa wengine.
Kwani huyo ana uzuri gani?
Na bado mtaanza kuzurura kama machizi kwa frustration.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…