Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Hujui katiba ya chama inasema mwenyekiti wa chama ndo mgombea urais? Na uchaguzi wa chama kuchagua mwenyekiti ni mpaka 2022 jiwe tunae mpaka 2025

Pengine labda membe kaongea na Mungu kamwambia kitu ndiyo maana anajiandaa 2020 lakini atambue kuwa Bashite yupo na timu yao watahakikisha Mtukufu anaendelea kuwepo mjengoni ili na wao wadumu kwenye vyeo vyao hasa ukizingatia kuwa mwaka 2020 Bashite atakuwa mbunge wa kuteuliwa kisha atazawadiwa Wizara ya mambo ya ndani au wizara ya Utawala bora ili apate fursa za kuwakomoa wote wanaompinga mtukufu.
 
Jiwe atakua wapi mpaka mumletee michezo hiyo?
Kama mnataka kumponza achukuliwe na wasiojulikana basi sawa.
 
Huyu ni mwana alumni mwenzangu pale SAIS-JHU na ni jembe hasa. Bila shaka atawavusha. Sema bongo mna bahati mbaya ya kupishana na wenye uwezo wa kweli wa kuwa maprezdaa.
 
Watanzania ni wanafiki sana,eti wanajifanya kuwa hawajui kuwa mtu mwenye maamuzi ya nani awe rais kwenye nchi hii ni CcCM na wala siyo wao!!......kura huchakachuliwa,kura huibiwa,mizengwe hutumika na policeccm hutumika pia kufanikisha hilo na sisi Watanzania hutulia kimya kama maji kwenye mtungi!!
 
Tatizo la Nchi hii kwa Asilimia kubwa ni Mfumo tulio Uunda na kuusimamia ,Watu wana tumia Mfumo huu unao toa Mwanya kwa Watu kuwa Mfumo badala ya Mfumo kusimamia Watu.
 
Umewaza mbali sana Kamanda.
 
Why not Makonda 2025? Tunaweza kuwa kwenye mikono salama!
 
Itakuwa ni Kosa la Karne kufanywa na itakuwa ndio anguko kuu la CCM na hata hivyo, John Magufuli akiamua Upinzania na akagombea bado atashinda na kuwa Rais. Wasubiri 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…