Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Hujui katiba ya chama inasema mwenyekiti wa chama ndo mgombea urais? Na uchaguzi wa chama kuchagua mwenyekiti ni mpaka 2022 jiwe tunae mpaka 2025

Pengine labda membe kaongea na Mungu kamwambia kitu ndiyo maana anajiandaa 2020 lakini atambue kuwa Bashite yupo na timu yao watahakikisha Mtukufu anaendelea kuwepo mjengoni ili na wao wadumu kwenye vyeo vyao hasa ukizingatia kuwa mwaka 2020 Bashite atakuwa mbunge wa kuteuliwa kisha atazawadiwa Wizara ya mambo ya ndani au wizara ya Utawala bora ili apate fursa za kuwakomoa wote wanaompinga mtukufu.
 
Habari za muda mabibi na mabwana!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.

Karibuni kwa maoni yenu.
Jiwe atakua wapi mpaka mumletee michezo hiyo?
Kama mnataka kumponza achukuliwe na wasiojulikana basi sawa.
 
Huyu ni mwana alumni mwenzangu pale SAIS-JHU na ni jembe hasa. Bila shaka atawavusha. Sema bongo mna bahati mbaya ya kupishana na wenye uwezo wa kweli wa kuwa maprezdaa.
 
Watanzania ni wanafiki sana,eti wanajifanya kuwa hawajui kuwa mtu mwenye maamuzi ya nani awe rais kwenye nchi hii ni CcCM na wala siyo wao!!......kura huchakachuliwa,kura huibiwa,mizengwe hutumika na policeccm hutumika pia kufanikisha hilo na sisi Watanzania hutulia kimya kama maji kwenye mtungi!!
 
Tatizo la Nchi hii kwa Asilimia kubwa ni Mfumo tulio Uunda na kuusimamia ,Watu wana tumia Mfumo huu unao toa Mwanya kwa Watu kuwa Mfumo badala ya Mfumo kusimamia Watu.
 
Membe hatofanya miujiza maana CCM ni walewale..
ila yafuatayo;
1-Utekaji wa raia utapungua
2-Viongozi kuwatukana wananchi kutapungua
3-Ukanda, udini na ukabila utapungua
4-Watumishi kunyimwa haki zao kutapungua
5-Kesi za kipumbavu za kubambikiziana zitapungua
6-Sheria zitakazopitishwa hazitobeba hisia za mtu mmoja pekee kwa maslahi binafsi
7-Viongozi wenye phd kuacha facts na kutoa mipasho ya taarabu kutapungua
8-Viongozi wa kitaifa hawatowakimbia wananchi kwenye misiba
9-Kuhonga kodi ili uungwe mkono kutapungua
10-Ajira zitaongezeka
11-Askari wa Rwanda nchini watapungua
12-Mtanzania atakuwa na thamani zaidi kuliko mbwa wa polisi
13-Biashara zitakuwa maana unyonyaji utapungua
14-teuzi zitapungua
15-data za kupika zitapungua
16-kukurupuka kutapungua
17-hazina itaangaliwa na wale wote wenye mamlaka kisheria na sio mtu na mpwa wake pekee
18-watu watakuwa huru kufanya siasa, kutoa maoni
19-nchi itakuwa na jembe la uwakilishi nje ya nchi, haitakuwa tena tanzania ya kukimbiakimbia vikao vya wakuu wa nchi
20-njaa itapungua na furaha itaongezeka..
21-mawazo ya wasomi yatapewa nafasi yake
Umewaza mbali sana Kamanda.
 
Why not Makonda 2025? Tunaweza kuwa kwenye mikono salama!
 
Itakuwa ni Kosa la Karne kufanywa na itakuwa ndio anguko kuu la CCM na hata hivyo, John Magufuli akiamua Upinzania na akagombea bado atashinda na kuwa Rais. Wasubiri 2025
 
Back
Top Bottom