Hatutafika....TWENDE NA MEMBE 2020
InshahllaaaaHatutafika....
Muulize Bashiru anamtafutia Membe nini?Magufuli hana mpinzani.
Wanakwambia Mbadala ni Yule mcongo uZito Mwepes au Yule Tundu la choo
Ili mradi huo mbadala usiwe bashiteKumekuwepo totes nyingi sana kuhusu Mwanadiplomasia Nguli Camilius Membe kupokea kijiti 2020, lakini pia napo wanaotumia nguvu nyingi kumkataa ingawa Membe mwenyewe hajasema chochote. Haya ni maneno ya wananchi.
Naona kuzuia mjadala wa membe ni sawa na kuzuia mto kwa kutumia mkono. Wanaomkataa membe watupe njia mbadala ya kujikomboa toka mikonini Mwa JIWE. Hatumtaki Jiwe. Kama siyo membe, basi mtupeni mbadala.
Bashite ni la kuweka kwenye DEATH row, kama Tanzania ina sheria za kunyongaIli mradi huo mbadala usiwe bashite
Kila mtu anamg'ang'ania si CHADEMA si ACT wote wafuasi wake wamekaaa kutwa kusujudu na kupost picha zake maana yake nini kama si kumtaka.Wapi umeona tamko la upinzani kumuunga mkono Membe...Huku kuna kina Malcom Lumumba kina VUTA-NKUVUTE na wengine hao wote ni wana Lumumba wenzako mkuu ila wanampigia debe Membe. Emb maCCM mpambane na hali zenu.