Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Si wapinzani wala watanzania wanamtaka Membe ila wanajua weakness ya bwana yule ndio maana wanamtingisha watakavyo.Yajayo yanafurahisha,watajitokeza wengi sana kwa mtindo huo.Kwa sasa anaogopa mpaka kivuli chake mwenyewe nimeona Arusha analindwa mpaka na Helcopta sijawahi ona kumbe kufa kubaya ?Yajayo ni mazuri kwa kweli
 
CCM NI YETU SOTE
#VOTE 4MEMBE2020
hahahahahaha uyo jiwe katunyoosha wote na hata ww hapo umenyooka ndo maana umeanza kujitaja kwenyen wagombea
 
hahahahahaha uyo jiwe katunyoosha wote na hata ww hapo umenyooka ndo maana umeanza kujitaja kwenyen wagombea
Mi akili kubwa ndo maana sijiachi na wala sijiweki nyuma..... Ningekuwa rais wenu leo hii mngetamba africa nzima kwa kuwa na rais bora kupata kutokea
 
Dalili zote zinaonesha kwamba mtu huyo anapikiwa zengwe ili liive na likiiva alishwe na akilishwa kwisha habari yake.Mbinu zinazotumika ni za kimafia sana kiasi kwamba mjambia limao hawezi kuzigundua.

kitendo cha K/M kuendelea kuzunguka huko na kule huku anajamba 'Obhuro' ni ishara kuwa mkakati huu ni endelevu na unalenga kumuondoa kabisa kundini mtu huyu.

Wote wanafahamu nguvu na umaridadi wa kiuongozi wa mtu huyu na hata washirika wake yaani wanamtandao aka teamates.Shughuli kubwa waliyonayo kwa sasa ni kutafuta legitimacy ya nia yao ovu ili watakapoitekeleza nia hiyo ovu iwe na Literature za kitosha.

Bahati mbaya hawajui kuwa 'Once a spy forever a spy'.Hizi fyokofyoko zote ni kumfanya aingie kumi na nane zao wampe ban mazima na huo ndio mwisho.

Kiongozi wa vichaa kichaa kimempanda mpaka anatetemeka na anaona hali ni ngumu sana tena sana huko juu bora akatue Arumeru ambako kuna bwana mdogo tu aliyepata kura nyingi sana kuliko zakwake 2015.

Kichaa kikipanda akili huwa zinashuka.
 
bora membe mara mia moja. majuto ni mjukuu.
Nawaamini waloandika mengi kuhusu utawala wa nchi yetu kwa sasa na baadae. Tatizo langu ni pale tunaposhindwa kukumbuka hata kwa mifano michache iliyopita!
Ukimwacha JKN, Mwinyi alisifiwa kuwa angeweza kuvaa viatu vya mtangulizi wake. Kilichotokea akaondoka na jina jipya LA Ruksa. BWM yeye akaingia kwa wimbo wa kulikomboa taifa, wote tukafurahi. Nakumbuka alimaliza muda wake na mzimu wa Kiwira! JMK naye akaingia kwa Kasi Mpya na Ari Mpya. Ametuacha kama tunavyojiona. JPM kaja na Hapa Kazi tu! Sijaaminishwa kama wimbo wake utakamilika.
Tatizo kubwa si jingine bali Katiba inayoelekeza nchi iendeshwe vipi, na agenda endelevu ya taifa ni nini? Tukitatua hili, nchi itakwenda. Bila hilo, watakuja wengi watatuacha hivi.
Nawasilisha.
 
TWENDE NA MEMBE 2020
 
Inaweza kuwa lakini alikuwa akishiriki kikamilifu kwenye jitihada za kuleta amani huko DRC na ninaamini hapana kitu tena kinaitwa M23
 
Unachezea gooogo wewe.Tamu sana ndo maana uchungu unawabana hata wasio na mimba.
 
Kuna nini kwani!!?

Haki tena Magu aliposhika anakomesha wengi... Raha zaidi masisiem yanaumia zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…