Mnatuchanganya, si alisema ni wa mizimu ya kwao? Pia CCM mgombea uraisi 2020 atagombea bila kupingwa, msije mkawa mnashadadia hili kumbe ni mbinu ya kuua upinzani 2020.
chaguo kwa mama yakoMabadiliko lazima mabadiliko Membe. CCM oyee.
Huyu hata Kwa Januari Makamba haoni ndani, Makamba is our President after JPM, Anyway # JPM For Life.Mabadiliko lazima mabadiliko Membe. CCM oyee.
Tukana hadi upeo wako wa wamatusi ,ukweli pale pale mabadiliko lazima, mabadiliko Membe.CCM oyee.chaguo kwa mama yako
Tukana hadi upeo wako wa wamatusi ,ukweli pale pale mabadiliko lazima, mabadiliko Membe.CCM oyee.
Piga kura n usalamaJe! hizi kura za JF ni siri? Usalama kwanza
Piga kuraWatumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka mitatu hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.