Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Mnatuchanganya, si alisema ni wa mizimu ya kwao? Pia CCM mgombea uraisi 2020 atagombea bila kupingwa, msije mkawa mnashadadia hili kumbe ni mbinu ya kuua upinzani 2020.
nyumbu waache, washasahau hilo