Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nikisikia wazee wote wastaafu wamejipanga kupindua meza , nikapuuza , Kumbe ni kweli ?Tunaitaka Tanzania yenye furaha na amani, tunaitaka Tanzania ile yenye viongozi wanaoheshimu sheria na katiba ya nchi yetu, Tanzania iliyosifika kwa uimara wa diplomasia na Ushirikiano wa kimataifa , Tunaitaka Tanzania yenye viongozi wanaohezhimu wananchi wake, viongozi wanaoheshimu utu na faragha ya wananchi, tunaitaka Tanzania ile yenye viongozi wanaoheshimu haki za binadamu.
Kuna tetesi kwamba Pinda anatumika kumzubaisha jiwe , ndio mbinu aliyoitumia Kinana kumpumbaza LowassaYaani jamaa wa CCM no vichekesho na usanii kwenda mbele! Leo wakamtuma Pinda aanzishe habari za kuongeza muda. In sanaa kwenda mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaitaka Tanzania yenye furaha na amani, tunaitaka Tanzania ile yenye viongozi wanaoheshimu sheria na katiba ya nchi yetu, Tanzania iliyosifika kwa uimara wa diplomasia na Ushirikiano wa kimataifa , Tunaitaka Tanzania yenye viongozi wanaohezhimu wananchi wake, viongozi wanaoheshimu utu na faragha ya wananchi, tunaitaka Tanzania ile yenye viongozi wanaoheshimu haki za binadamu.
Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
Katiba inasema hata Konki Likwid anaweza kuwa Rais wa nchiWeye naona umebanwa kunya, kanye kisha uchambe na maji ya baridi. Hivi Membe nawe unaweza kumfikiria kuwa rais wa TAnzania katika enzi hizi za Magufuli. Hata nusu ya Magufuli hafuati
Pohamba kwa nini miaka saba?sisi siyo kopi ya rwanda kwa nini isiwe miaka ishirini awamu moja ili rais apate muda wa kutosha kukamilisha mipango yake na vilevile kuokoa mipesa inayoliwa kwenye uchaguzi?Tunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi
Pohamba kwa nini miaka saba?sisi siyo kopi ya rwanda kwa nini isiwe miaka ishirini awamu moja ili rais apate muda wa kutosha kukamilisha mipango yake na vilevile kuokoa mipesa inayoliwa kwenye uchaguzi?Tunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi
niliandika kabla ya jana kuitwaHilo jina mkilitaja kesho kikao cha NEC litajadiliwa maana kiazi anamuogopa membe sijawahi kuona
Sent using Jamii Forums mobile app