Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Nikisikia wazee wote wastaafu wamejipanga kupindua meza , nikapuuza , Kumbe ni kweli ?
 

Kwanza tnataka kujua kama alikuwapo kwenye kikao cha leo mwanza?
 
Twende na Membe MTU mwenyewe anajiuma uma hata kutangaza nia anaogopa harafu wewe unampigia debe
 
SLOGAN YAKE NI KAZI NA BUTTER.KAZI NA BUTTER=KAZI NA WIZI,HATUTAKI!
TUNATAKA KAZI TU.
 

Weye naona umebanwa kunya, kanye kisha uchambe na maji ya baridi. Hivi Membe nawe unaweza kumfikiria kuwa rais wa TAnzania katika enzi hizi za Magufuli. Hata nusu ya Magufuli hafuati
 
Weye naona umebanwa kunya, kanye kisha uchambe na maji ya baridi. Hivi Membe nawe unaweza kumfikiria kuwa rais wa TAnzania katika enzi hizi za Magufuli. Hata nusu ya Magufuli hafuati
Katiba inasema hata Konki Likwid anaweza kuwa Rais wa nchi

Wewe unafikiri katiba inasema Rais lazima awe na bichwa kama korosho?
 
Tunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi
Pohamba kwa nini miaka saba?sisi siyo kopi ya rwanda kwa nini isiwe miaka ishirini awamu moja ili rais apate muda wa kutosha kukamilisha mipango yake na vilevile kuokoa mipesa inayoliwa kwenye uchaguzi?
 
Tunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi
Pohamba kwa nini miaka saba?sisi siyo kopi ya rwanda kwa nini isiwe miaka ishirini awamu moja ili rais apate muda wa kutosha kukamilisha mipango yake na vilevile kuokoa mipesa inayoliwa kwenye uchaguzi?
 
TULIZENI BOLI NCHI HII INA AMANI NA HUO UZANDIKI MSITULETEE HAPA...we need peace tuchape kazi ...kwani lazimaawe raisi ebooooo
VIPINDI VIVILI TUMALIZE SALAMA ..
SHERIA
TARATIBU
KANUNI
MAZOEA
(STKM) Ndio dira STKM huyo wenu hana nafasi hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…