Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Bora agombee Humphrey Polepole kuliko ......
 
Sasa ulitaka ndani waandamane? Ni mpaka nguo zianikwe ndiyo unajua kuwa jirani yako leo alifua.
Kuna underground movement ndani ya chama tawala.... kada wakawaida nivigumu kulijua kuna wenye chama wanataka chama chao "wamepigana mistuni zaidi ya miezi 8 kwaajiri ya chama".....
 
Kuna underground movement ndani ya chama tawala.... kada wakawaida nivigumu kulijua kuna wenye chama wanataka chama chao "wamepigana mistuni zaidi ya miezi 8 kwaajiri ya chama".....
Kuna wastaafu pia ambao hawafutahii ramani inavyokwenda.
 
Ndoto hizi zimepitwa na wakati, kinachozungumzwa hapo naona ni ndelemo na vifijo kwa mtu asiyeonekana
 

Acha kusifu dhambi,
 
Kwa masikitiko naomba nikiri Mkapa alikuwa sahii kuwaita Wap.....
 
KINGUNGE

“Kitendo cha kuinyang’anya Kamati Kuu mamlaka yake ni kibaya, wanajiita kamati ya maadili wakati kamati yenyewe haina maadili, hii nchi ni yetu sote hata chama ni chetu sote wachache tuliowapa madaraka ndani ya chama na serikali wanadhani nchi ni yao,”

KILA LA KHERI KACHERO MEMBE
 
Kwa utaratibu wa CCM raisi aliyepo madarakani anakaa miaka 10 labda itokee kifo.Kwa raisi huyu hamna mtu wa kuchukua fomu 2020 sijui lakini yajayo.Ataendelea JPM ili andeleze yale aliyo yaanzisha.Tumuache JPM achape kazi,badala kuleta mada amefanya nini hii 3 years mnaleta mambo ya 2020.
 
Wakuivusha Tz kwenda wapi huyo?,ameshindwa wakati akiwa Foreign Affairs.Taasisi ya uraisi haijaribiwi.Tumuache raisi achape kazi.
 
Duh kwa hyo unamaanisha bora ccm iendelee kutawala? Mm nilitegemea ungemuelezea mgombea wa upinzani anayefaa na atayekuea raisi, lakini tunarudia makosa yaleyale ya kutaka ccm iendelee kutawala tena kupitia membe!
 
Kwa nn membe na sio upinzani? Bado tuna hamu ya ccm kutawala?
 
Tunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi
Hiyo imekaa vizuri kiongozi haaa hhaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…