REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
We need Bernard member bikosi musukuma inatusumbua itaki ona watu ina pesa luuku ati sisi wahindi teseka sana sisi taka member bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna underground movement ndani ya chama tawala.... kada wakawaida nivigumu kulijua kuna wenye chama wanataka chama chao "wamepigana mistuni zaidi ya miezi 8 kwaajiri ya chama".....Sasa ulitaka ndani waandamane? Ni mpaka nguo zianikwe ndiyo unajua kuwa jirani yako leo alifua.
Kuna wastaafu pia ambao hawafutahii ramani inavyokwenda.Kuna underground movement ndani ya chama tawala.... kada wakawaida nivigumu kulijua kuna wenye chama wanataka chama chao "wamepigana mistuni zaidi ya miezi 8 kwaajiri ya chama".....
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Sawa mnamtafutia membe matatizo hawachelew kusema sio mtz
Hadi wahindi duhh....au mnataka like sanduku lenu lililojaa mapesa kipindi kileWe need Bernard member bikosi musukuma inatusumbua itaki ona watu ina pesa luuku ati sisi wahindi teseka sana sisi taka member bwana
2020 twende na membeMembe mtu makini sana.
Anafaa kabisa aiseee.
Sema tu ajali ya kisiasa ilimpata akakosa kiti.
Membe 2020
Lowassa alitumia miaka 10 kujitangaza mitandaoni na kuwatumia viongozi wa dini eti wanamuomba kugombea urais na zaidi ya yote lowassa alikuwa kila mtu mwenye harambee lowassa anaomba awe mgeni rasmi na kutoa mafedha kedekede , akaanza kupanga safu yake ya uongozi kwenye jumuiya za ccm kuanzia vijana, UWT, jumuiya ya wazazi , wajumbe wa NEC , wajumbe Wa mkutano mkuu.
Kikwete akiwa rais akawa anamchora tu akijua wapi atakapomfyekelea mbali, kikwete yeye akaanza kupanga safu ndogo sana ya kamati ya maadili Kwa kuwaweka watu wake na kuhakikisha watu wenye damu ya lowassa hawapo,ilipofika muda kikwete akiwa na kamati isiyozidi watu 10 akamfyekelea mbali.
Shikamoo kikwete
View attachment 913562
Kila niionapo hii picha huwa nafarijika sana huku nikiwaza siku yake ya kuapishwa pale uwanja wa Taifa akinamama akina baba wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu watakavyozimia kwa furaha.
Kwa masikitiko naomba nikiri Mkapa alikuwa sahii kuwaita Wap.....Kumekuwa na ubishani mkubwa kwamba Membe hawezi kumtoa Magufuli 2020 kwa sababu katika historia ya Tanzania hilo halikuwahi kutokea. Mimi nasema hapana,yote yanawezekana na sababu zipo lukuki!
Nikiangalia kwa upande wa CCM Mwanadiplomasia Bernard Membe ndiyo mtu pekee anayeweza kupindua meza kibabe pale CCM.
Acheni mawazo duni. Mbona babu zetu waliamini Nyerere na wenzake wangeweza kupindua meza kibabe ya mkoloni. Iliwezekana vipi?Ni mikakati kabambe inahitajika na siyo jambo la kitoto.
Sababu za Membe kufanikiwa hili ni nyingi kuliko kushindwa kwake.
1. Kutokubalika kwa Magufuli ndani na nje ya CCM
2. Kukosekana kwa utengamano wa kweli
3. Nia ya kuirudisha Tz kimataifa
4. Nia ya kurudisha mchakato wa Katiba ya Watanzania
5.nk
........... itaendelea(nitafafanua)
Kwa nn membe na sio upinzani? Bado tuna hamu ya ccm kutawala?KINGUNGE
“Kitendo cha kuinyang’anya Kamati Kuu mamlaka yake ni kibaya, wanajiita kamati ya maadili wakati kamati yenyewe haina maadili, hii nchi ni yetu sote hata chama ni chetu sote wachache tuliowapa madaraka ndani ya chama na serikali wanadhani nchi ni yao,”
KILA LA KHERI KACHERO MEMBE
Mkuu kama tunahitaj membe awe raisi, ina maana bado tunahitaji ccm iendelee kuwepo madarakani? Kwa nn hizi nguvu tusiziongezee kwenye wagombea wa upinzani?We need Bernard member bikosi musukuma inatusumbua itaki ona watu ina pesa luuku ati sisi wahindi teseka sana sisi taka member bwana
Hiyo imekaa vizuri kiongozi haaa hhaaaTunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi