Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Kwanini tuishi ktk wkt uliopita, tunahitaji reli na uboreshaji wa miundombinu sasa kuliko hata hiyo miaka ya 70,
Yaani unaamini kashoggi ni suala nyeti zaidi kuliko mambo yetu ya ndani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????
Yaani unaamini kashoggi ni suala nyeti zaidi kuliko mambo yetu ya ndani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????
Ujenzi wa reli ilitikiwa iwe topoc ya majadiliano miaka ya 70-80.Ni aibu kwa mtu mwenye uelewa na exposure kujadili ujenzi wa reli,tulitakiwa tuwe nayo hyo reli miaka 20-30 iliyopita.