Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Ujenzi wa reli ilitikiwa iwe topoc ya majadiliano miaka ya 70-80.Ni aibu kwa mtu mwenye uelewa na exposure kujadili ujenzi wa reli,tulitakiwa tuwe nayo hyo reli miaka 20-30 iliyopita.
haha maisha yatakuwa haya kutendei haki mkuu
Wenye chama wakiamua jiwe anakaa pembeni.Kwani katiba ya ccm ilibadilishwa tena?maana kama mwenyekiti akichukuwa fomu ya kugombea urais basi hakuna nyang'au anayechukuwa fomu..kwahiyo ya membe msahau kabisa
Ingia kwa Michuzi angalia hii picha ya 2014. Umeishiwa?Bernard Kamilius Membe akifanya mazoezi makali sana ya kukimbia. Nikawaida yake kujiweka fiti kimwili na kiakili kwa kula kiafya na kufanya mazoezi hili awatumikie watanzania walioshakata tamaa kwa itawala mbovu wenye choyo ufusidi na wakuwagawanya wananchi kwa matabaka.
View attachment 914322
Mmeng'ang'ana kimataifa kimataifa kwan tunataka kuchagua Rais wa dunia au Tanzania?... Hana sifa nyingine tofaut na hiyo?.....Hakika ni tumaini jipya kwa watanzania anapaswa kuungwa mkono na kila mpenda maendeleo hii ni kutokana na ukweli kwamba ni mtu mwenye mtazamo wa kimataifa na mwenye uwezo wa kurudisha heshima ya nchi yetu kidiplomasia.
Jasusi mbobezi na mwanadiplomasia aliyetukuka rais ajaye kabla 2020 ndugu Bernard Kamillus Membe kama angekuwa leo rais Swala la kuuwawa Khashoggi angeingilia kati na kutuliza mambo kwa njia ya upatanishi na diplomasia.
Akiwa waziri wa mambo ya nje awamu ya 4 Membe aliweza kuiweka karibu sana Tanzania na mataifa ya uturuki na Saudi Arabia.
Pia Membe angekuwa rais angeenda mbali zaidi kwa kuwaleta karibu Saudi Arabia na Qatar kwa kuwafanya ku "extend an olive branch" katika mustakabali mzima wa mashariki ya kati.
Chini ni picha Rais Membe akimwaga balozi wa Saudi Arabia aliyemaliza muda wake ndugu Hani Abdullah alipokuwa waziri wa mambo ya nje awamu ya 4
View attachment 914182