Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

UFIPA WAMEJIANDAA KULA PESA ZA GADDAFI KAMA WALIVYOKULA PESA ZA RICHMOND.
 
Siasa za bongo bwana.....ndio maana tunafeli kila uchao.....

Huwa tunawachukulia watu wanaogombea nafasi za uongozi kama "movie characters" na si watendaji!
 
Usichokijua ni kwamba hiyo Miliion 50 kwa kila kijiji ilikuwepo kwenye Ilani ya Uchaguzi 2015 sa sijui kama angekuwa Membe ndiye mgombea angefuta hicho kipengere ama vipi! Jibu unalo mwenyewe.

Watanzania walitaka mabadiliko, Sasa jiulize mabadiliko waliyoyataka Watanzania wakati awamu ya nne inatoka madarakani tungepata kitu cha tofauti kama Membe angekuwa Rais? Unamuona Membe akiwa na utofauti kati yake na Membe?

Mabadiliko ya Kweli ypo kwa JPM. Tulizoea kuiba sasa fanya kazi kihalali upate mshahara wako wa halali. Membe angekuwa Rais wala asingeweza kuajili kila Mwananchi wa Tanzania. Membe anekuwa Rais labda angekodi Ndege sio kununua katu, SGR mradi angepewa Mchina tena kwa mkopo wa riba ya hatari, Meli ziwa Victoria! Sidhani Mradi wa maji Rufiji asingewaza hilo! namuombea JPM amalize salama kwenye awamu zake zote 2 alafu tutarudi tena hapa kufanya tathimini.
 
MEMBE ANAWEZA ASIWE RAIS 2020 LAKINI CV YAKE NI APPLICABLE INTERNATIONALLY. HIVYO KWA WATU WASOMI WA KUANZIA KIWANGO CHA KATI NA WENYE ULEWA KUHUSU DIPLOMASIA BASI LAZIMA WAMUUNGE MKONO.
We don't need a popular or international president, we only need Tanzania president, And JPM is the President till 2025.
 
Atapitata barabarani, vichochoroni, majini na angani..tafuta njia mwenyewe sisi tunalo jibu teyari.
#TimeForMembe#
 
Tunaomba tu CCM mtuletee huyu ndugu maana ana mikono yenye baraka na ataleta mahusiano mapya ndani na nje ya TZ.. Hana uadui wa kikabila wala wa kishangazi. Ni msomi na mwenye utashi wa kiuongozi na hekima.. Kwa kweli Anatufaa sana .. CCM mtupe raha 2020 kupitia Membe
 
Tuwe wakweli tu angekuwa membe hakuna ajuayw angekuaje,tusidangante watu kuwa angekuwa mbaya au mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…