Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Sio bure utakua umelipwa maana hizi juhudi siyo za kawaida, ili tuwe pamoja ebu tugawane
 
Kuna hatari ya Membe kufukuzwa uanachama wa ccm, otherwise akanushe kua yuko nyuma ya hizi mbio za kuwania uraisi.

JPM hawezi fanya haya, ni muoga sana yule mzee... na ndio maana anatumia nguvu kubwa sana kupambana na watu.. Membe ana muogopa maana anajua jamaa ni master, naishia kuugulia na kukasirima maana yule ni chaguo la kitengo toka 2015... ila ndio ivyo kosa likatokea
 
Hiyo diplomasia mbona haikuwahi kuipeleka Taifa Stars kwenye michuano yoyote?
Mwenzenu mwaka mmoja tu akina madarakani, tayari Vijana wetu wakaenda mashindano ya Afrika huko Gabon.
 
Membe ana sifa za kiuongozi, siyo kama huyu anayetumia misuli bila akili kwenye mambo yanayohitaji akili na nguvu kidogo
 
Tunaoujua michezo ya siasa tunakwambia chochote kinaweza tokea siku yoyote.
 
LAZIMA WAMCHOKE, UNANUNUA WATU HARAFU UNAWAPITISHA HAOHAO KIBABE BILA KUWASHINDANISHA LAZIMA WENYE CHAMA CHAO WAKUCHUKIE NO DEMOCRACY
 
Sasa Membe akagombee Zanzibar basi!
 
Hao wenzio ni manyumbu yani uadui wao na zao ninkwa magufuli tu basi! Yani wanaona tatizo ni magufuli,

Hawachukulii urais kama taasisi bali wanamuona magufuli tu basi.
 


Akishasema ukimshauri ndio umeharibu kabisa.
 
Mtaimba Ngonjera na mashairi na tenzi zote Mwaka huu, Hizo siasa chafu haziepukiki Africa, what matters is Nchi ijengwe kwanza hizo siasa badae.
Ni haki kwa Raia kumweleza Raisi wao mambo mazuri au mabaya yanayoendelea katika nchi husika.
Kumzuia raia kutoa maoni ya kuikosoa serikali yake na kuishia tu kusifiasifia ni ujuha na haukubali kwa wenye uelewa mpana.
Raisi sio Malaika, na ana madhaifu yake ambayo ni lazima aelezwe ili ajirekebishe.
Wakati wa
" Zidumu Fikra na Matendo ya Mwenyekiti "
Umeshapitwa na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…