Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Bora watu waseme hafai ili jiwe litulie, haki ya nani wakisema anafaa 2020 litamteka sasa hivi!!Mtamponza mzee wa watu nyie. Awe anafaa au hafai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora watu waseme hafai ili jiwe litulie, haki ya nani wakisema anafaa 2020 litamteka sasa hivi!!Mtamponza mzee wa watu nyie. Awe anafaa au hafai.
Una jeuri ya kumfungia nani wapi wewe? Usiwe mropokaji! Na siyo kwamba sikuelewa jibu, ni kwamba huelewi au hujui kujibu unachoulizwa. Kuelewa unachoulizwa ni nusu ya jibu.Pole kutoeletwa jibu. Tutawafungia nyie team Membe mnaanza kampeni kabla ya muda. Hope umeelewa sasa.
Tuthibitishie mkuu.Iwe giza iwe nuru. Iwe usiku iwe mchana Membe LAZIMA awe rais kabla 2020
Ukijinyonga ni sawa tu. Nilidhani utaweka ahadi ambayo hata ukishajinyonga wengine watanufaika zaidi. Ahadi gani sasa hii ya kijinga.Membe akiwa rais wa Tz, NTAJINYONGA
Chimwaga?Kwa mara ya pili meenyekiti wa ccm anaenda kushindwa Chimwaga , wa kwanza alikuwa Kikwete .
Ni heri kuendelea kuongozwa na Jiwe kuliko huyo Membe
We jamaa yako wa karibu kapoteaHayajakukuta tu, Subiri jamaa yako wa karibu akipotea ndio utajua.
We jamaa yako wa karibu kapotea
Mazingira yapi?Acheni kujitisha wenyewe na kujifanya wote wanaishi hivo. Usimtukane mtu,kejeli,mdharirisha,dhihaki. Amka asubuh nenda kazini fanya kazi bila dhulma then njoo uniambie umetekwa. Sasa wewe kuanzia asubuh hadi jioni ni matusi tu,kejeli na dhihaka kwanini usiwe na hofu ya kutekwa?Mimi mwenyewe nikikwazana na mtu nakua siku ktk position nzuri.Na hakuna wakati mbaya kama huu,ukikwazana na mtu arafu ukawa unajifanya mjuaji wa kutukana serikali, kuna possibility kubwa ya huyo mbaya wako kukufanya vibaya na wote watakuja na speculation za serikali imemteka. Ishi tu vizur sio kufuata Mkumbo wa kijinga.Hajapotea, nilikini mazingira tunayoishi tayari nayafahamu. Sasa nyie mlokua bado hamuyafahamu ndio msubiri tu yakutokezeeni ndio mtafahamu.
Mbona nyie wasengerema mnapigania mbowe atoke madarakaniBavicha wameacha kupigania waingie madarakani wanapigania mwanaccm mwingine aingie madarakani. Wakisema ccm itatawala milele wanakuja juu.
Comment yyt ya kipuuz nikulike tu.Sijengi hoja na mpuuzi.Mbona nyie wasengerema mnapigania mbowe atoke madarakani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku Membe akiwa Rais nahama Nchi