Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Hiyo ndo nightmare kubwa ya jiwe na ccm, Lissu hazuiliki labda kwa risasi, na kwa taarifa tu ni kwamba hatarudi Tz kabla ya kutangazwa kuwa mgombea rasmi wa uraisi wa muungano wa upinzani Tz
WEWE JAMAA UPO AKILIN MWANGU..KWA TAARIFA NIKWAMBA, LISSU KESHAPONA, ILA ANACHELEWESHWA ,ANARUDI KUJA KUGOMBEA URAIS UKU ULINZI WAKE UKIWA UMEKAMILISHWA VEMA.

NYUMA YAKE AKIWA NA NGUVU KUBWA YA ULAYA NA MAREKANI .

FAIDA YA YEYE KURUDI WAKAT WA UCHAGUZI NIMBILI

[emoji117][emoji117]RAIA WENGI WATAKUA NA SHAUKU KUBWA YA "ALOPIGWA RISAS"...hii ni faida kwa Lissu kwa kua ana HURUMA YA TAIFA.

[emoji117][emoji117][emoji117]JIWE HATOPATA MUDA WA KUMCHAFUA KWA MBINU ZAO .
 
Watoto wa baba mmoja,Leo yamekuwa haya
Harafu membe yupo kimya.ukiona haya yanatokea,ujue nec inamtaka membe agombee urais ili wale waliopunguzw kwenye nec walejeshwe maana siku hizi wamegeuka kuwa wamachinga na wauza mbogamboga.
 
Nimeeelewa jiwe anataka kufanya "cleaning the house thing" by setting membe up.
But kwa lengo lipi hasa nn target yake?
Mkuu Ivi hujiuliz nguvu na mabilion wanayotumia kununua Wanasiasa pamoja na kuwapoteza kabisaa ..NA LENGO GAN?? IKIWA VYOMBO VYAUSALAMA NIVYAKE???


JIWE ANATAKA KUKAA MIAKA KIBAO ANAYOTAKA YEYE , NDIO MAANA ANAFUATA SIASA ZA RAIS WA CHINA, KUMALIZA UPINZAN NDAN YACHAMA CHAKE NA NJE YA CHAMA.


DAWA YAKE NI MOJA TU...LISSU.
 
Hakuna anaye itakatenaCCM hii. Lakini hizo chokochoko ndani ya CCM ni ishara tosha kwake kuwa wanapmpinga sio Mbowe,Zitto,Heche,Lissu na vyama vyao tuu bali hata ndani ya CCM asili hawamtaki kabisa.
Na ngomaya ndani ni ngumu zaidi kuliko ya nje, hao watoto kama Bashite,Gambo au Polepole ndio wanaweza ngoma inayokesha? mjue hata hawa wazee anao sema WANAWASHWA WASHWA wanamuangalia kwa chati tuu, walimsukumizia wakijua anaujua mchezo kumbe yeye katoka benchi nakujiona kama Ronaldo au Messi shauri yake.
Akishindana na chama chake basi ajue itabidi atumie dola kubaki na hiyo ndio tiketi ya mwisho ya kuharibu maisha ya kwake na vizazi vyake.
 
Hivi katiba ya chama chini ya mwenyekiti huyo huyo haiwezi kumuondoa mwenyekiti???

Ungekuwa pia una muelewa Membe vizuri kindaki ndaki ungeona kuwa membe ni zaidi magu. Missions zake ni za hatari... Viongozi wenyewe wana fahamu... Magu Ana fahamu... Ni mkimya mwenye hatari ndani yake...

Nisimuongee Sana... Subirini kamati kuu ya wana pwani na kusini... Ndipo utajua msukuma Ana nguvu... Au Kama maneno yasemayo msukuma msukume arudi kwao mwanza...

Stay there bro... Usiwe na haraka... Hakuna linalo shindikana chini ya jua...
Teh teh ana nguvu gani sasa?hizo mission za hatari unazosema zilizoshindwa kumfanya akavuka ndani ya CCM 2015 ni zipi tena rafiki yake kipenzi JK akiwa mwenyekiti wa CCM.

Kama angekua na hizo mission za hatari unazosema kwaninihao hao TISS hawakumpigania mpk atoboe kwny michuano instead akapigwa chini kama kawa.

Membe hata kwa ubavu na lowassa kwny mikakati hamuwezi hata kidogo,cheki Lowassa baada ya kapigwa chini na CCM kumbe ana plan B yake kwenda CDM fasta tu wkt Membe yeye yuko Mtama huko.Huyo mtu unamsifiaje ni mtaalam wa strategy?

By the way mtasalimia Mzee Hassy Kitine nadhani unanielewa hapa.

Hio kamati kui ya pwani na kusini inakaa lini ili nije nikukumbushe hapa.
 
WEWE JAMAA UPO AKILIN MWANGU..KWA TAARIFA NIKWAMBA, LISSU KESHAPONA, ILA ANACHELEWESHWA ,ANARUDI KUJA KUGOMBEA URAIS UKU ULINZI WAKE UKIWA UMEKAMILISHWA VEMA.

NYUMA YAKE AKIWA NA NGUVU KUBWA YA ULAYA NA MAREKANI .

FAIDA YA YEYE KURUDI WAKAT WA UCHAGUZI NIMBILI

[emoji117][emoji117]RAIA WENGI WATAKUA NA SHAUKU KUBWA YA "ALOPIGWA RISAS"...hii ni faida kwa Lissu kwa kua ana HURUMA YA TAIFA.

[emoji117][emoji117][emoji117]JIWE HATOPATA MUDA WA KUMCHAFUA KWA MBINU ZAO .
Matarajio kwa chadema ni lisu kugombea uraisi 2020.jiwe hatochomoka kwa huyu mhe lissu.
 
Duh nitafurahi sana kama mtamuondoa jiwe, maana anachofanya mimi sijakiona kwa kweli.
 
Kumekuwa na ubishani mkubwa kwamba Membe hawezi kumtoa Magufuli 2020 kwa sababu katika historia ya Tanzania hilo halikuwahi kutokea. Mimi nasema hapana,yote yanawezekana na sababu zipo lukuki!

Nikiangalia kwa upande wa CCM Mwanadiplomasia Bernard Membe ndiyo mtu pekee anayeweza kupindua meza kibabe pale CCM.

Acheni mawazo duni. Mbona babu zetu waliamini Nyerere na wenzake wangeweza kupindua meza kibabe ya mkoloni. Iliwezekana vipi?Ni mikakati kabambe inahitajika na siyo jambo la kitoto.

Sababu za Membe kufanikiwa hili ni nyingi kuliko kushindwa kwake.

1. Kutokubalika kwa Magufuli ndani na nje ya CCM

2. Kukosekana kwa utengamano wa kweli

3. Nia ya kuirudisha Tz kimataifa

4. Nia ya kurudisha mchakato wa Katiba ya Watanzania

5.nk

........... itaendelea(nitafafanua)

Membe ndiyo mtu pekee anaweza kurudisha diplomasia iliyopotea , nchi yetu inahitaji ushirikiano na mahusiano mazuri na nchi nyingine kwa maswala ya uwekezaji
 
Kumekuwa na ubishani mkubwa kwamba Membe hawezi kumtoa Magufuli 2020 kwa sababu katika historia ya Tanzania hilo halikuwahi kutokea. Mimi nasema hapana,yote yanawezekana na sababu zipo lukuki!

Nikiangalia kwa upande wa CCM Mwanadiplomasia Bernard Membe ndiyo mtu pekee anayeweza kupindua meza kibabe pale CCM.

Acheni mawazo duni. Mbona babu zetu waliamini Nyerere na wenzake wangeweza kupindua meza kibabe ya mkoloni. Iliwezekana vipi?Ni mikakati kabambe inahitajika na siyo jambo la kitoto.

Sababu za Membe kufanikiwa hili ni nyingi kuliko kushindwa kwake.

1. Kutokubalika kwa Magufuli ndani na nje ya CCM

2. Kukosekana kwa utengamano wa kweli

3. Nia ya kuirudisha Tz kimataifa

4. Nia ya kurudisha mchakato wa Katiba ya Watanzania

5.nk

........... itaendelea(nitafafanua)
Hahahahahaaaaaa! Mbona nawaona kama nyie na Membe wenu wote ni vichaa!! Membe awe Rais wa Nchi gani? Tanzania hii hii? Hahahahaaaaaa. Jiandaeni kuaibika. Hakunaga hiyo kitu mnajisumbua tu.
 
Yap hiyo game nimeshaisoma ndio maana nimetoa concept ya kusafisha nyumba. Anaondoa kila aina ya mapingamizi yatakayo mzuia yeye kuendelea kutawala
Mkuu Ivi hujiuliz nguvu na mabilion wanayotumia kununua Wanasiasa pamoja na kuwapoteza kabisaa ..NA LENGO GAN?? IKIWA VYOMBO VYAUSALAMA NIVYAKE???


JIWE ANATAKA KUKAA MIAKA KIBAO ANAYOTAKA YEYE , NDIO MAANA ANAFUATA SIASA ZA RAIS WA CHINA, KUMALIZA UPINZAN NDAN YACHAMA CHAKE NA NJE YA CHAMA.


DAWA YAKE NI MOJA TU...LISSU.
 
Kumekuwa na ubishani mkubwa kwamba Membe hawezi kumtoa Magufuli 2020 kwa sababu katika historia ya Tanzania hilo halikuwahi kutokea. Mimi nasema hapana,yote yanawezekana na sababu zipo lukuki!

Nikiangalia kwa upande wa CCM Mwanadiplomasia Bernard Membe ndiyo mtu pekee anayeweza kupindua meza kibabe pale CCM.

Acheni mawazo duni. Mbona babu zetu waliamini Nyerere na wenzake wangeweza kupindua meza kibabe ya mkoloni. Iliwezekana vipi?Ni mikakati kabambe inahitajika na siyo jambo la kitoto.

Sababu za Membe kufanikiwa hili ni nyingi kuliko kushindwa kwake.

1. Kutokubalika kwa Magufuli ndani na nje ya CCM

2. Kukosekana kwa utengamano wa kweli

3. Nia ya kuirudisha Tz kimataifa

4. Nia ya kurudisha mchakato wa Katiba ya Watanzania

5.nk

........... itaendelea(nitafafanua)
Membe awe na uwezo wa kimataifa kuliko Mahiga??!! Hii nayo mpya.
 
Back
Top Bottom