Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Kuanza kufikiria raisi mwingine ili hali aliyopo madarakani anadaiwa kuwa kipenz cha watu si habari njema hata kidogo hasa ukizingatia kuna miaka 7 mbele.
Je hakuna mwingine vichwani mwetu afaae zaidi ya membe au yeye ndiye tumemtoa chambo aanze wengine wafatie
Mimi namuona Hussein Mwinyi ni kijana mtulivu na mwenye busara

Leta majina mengine kwa 2020 october
prof .mark james mwandosya
 
Kuanza kufikiria raisi mwingine ili hali aliyopo madarakani anadaiwa kuwa kipenz cha watu si habari njema hata kidogo hasa ukizingatia kuna miaka 7 mbele.
Je hakuna mwingine vichwani mwetu afaae zaidi ya membe au yeye ndiye tumemtoa chambo aanze wengine wafatie
Mimi namuona Hussein Mwinyi ni kijana mtulivu na mwenye busara

Leta majina mengine kwa 2020 october
Huuu ujana jamani hamuutendei haki.
Miaka zaidi ya 50 bado unamuita kijana?
 
Hivi hizi Hela / Pesa ambazo Membe na Kikundi chake cha ' Propaganda ' anazowapeni hadi tokea juzi, jana na leo naona kila mara mnafurika tu hapa Kumuanzishia ' Threads ' kwanini asizikusanye zote na awarudishie Familia ya Hayati Rais wa Libya Muamar Gadhaffi? Mwambieni kabisa kwamba ile ' laana ' ya yule Balozi wa Libya nchini Tanzania aliyefia Ubalozini haitomuacha salama na ni bora aanze ' Kutubu ' kama siyo ' Kuungama ' mapema. Hata afanye vipi na aende wapi Bernard Camilius Membe hawezi na hana uwezo wa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ikitokea akawa basi kwa mara ya Kwanza Tanzania jiandaeni kushuhudia Kundi la Waasi litakaloongozwa na ' Shadow General ' au ' Warlord ' aitwae GENTAMYCINE na nina uhakika ' Utawala ' wake hautokaa / hautodumu / hautochukua muda mrefu na hatimaye sasa Watanzania wote mtakuwa chini ya Uongozi wa muda wa GENTAMYCINE ambapo nitaitisha Uchaguzi mpya na halali na Mshindi ambaye nitaona anafaa Kuwaongozeni Watanzania nitamkabidhi nchi na Mimi kurejea zangu Kutiririka na Kuserereka hapa Jamvini JamiiForums kama kawaida.
(Idiotism at work,you just think about your loaf and not your future), Membe is the best president ever compared to Jiwe

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Dr Magu!!!!!! Ona huku kuna vichwa maji wanaanza siasa!! Baba jesca njoo huku usikie!! Wanaaanza kuwanga kweupeeeeee!!! Wasubiri 2025!! Au tumeishanyooka?
 
mkuu yuko kwa maslahi ya nani? mbona wanyonge wanalia? korosho bei mbaya. kahawa ndo usiseme. kama mnakula kwake mteteeni mkuu ni haki yenu ila sisi watu wetu hali mbaya kiuchumi.
Kwa hiyo korosho na kahawa ndio kashusha bei?
 
Ok.lakini katiba inawawezesha.Ndio maana akina Mbalawa na Hussein Mwinyi wanapigiwa chapuo ya kupitishwa urais.Au kama vipi,Katiba ingebadilishwa ili iwe kama unavyotaka
wakagombee kwao kisiwandui zanzibar. Watanganyika tuna watu wa kutosha
 
Jitokeze wazi tusikie kauli yako watanzania tufarijike kwani mwaka 2020 ni jirani sana
Sometimes muwe mnaacha kujitoa ufahamu. Kauli ya Membe itakufariji vipi? Membe huyu si lolote si chochote. Magufuli keshaiteka CCM yenu na hata kina Mkapa hawapumui. Mnae tu atleast until 2025
 
Habari wakuu

Kutokana na hali inavyoenda ya uendeshaji wa nchi ni wazi rais anatakiwa abadilishwe kupitia sanduku la kura mwaka 2020

Hivyo sisi watanzania tunapenda na tunatamani kusikia sauti ya kiongozi wetu mpendwa mwenye nia ya kulivusha taifa kwa hapa lilipokwamia, ndugu, mheshimiwa na mwanadiplomasia Benard Membe

Jitokeze wazi tusikie kauli yako watanzania tufarijike kwani mwaka 2020 ni jirani sana

Nawasilisha
Kwa tikiti ya chama gani? Mnataka kumgombanisha na baba jesca?
 
Back
Top Bottom