My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Yes,MEMBE= PRESIDENTIAL MATERIAL.
JIWE=PRESIDENTIAL RUBBISH.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes,MEMBE= PRESIDENTIAL MATERIAL.
JIWE=PRESIDENTIAL RUBBISH.
prof .mark james mwandosyaKuanza kufikiria raisi mwingine ili hali aliyopo madarakani anadaiwa kuwa kipenz cha watu si habari njema hata kidogo hasa ukizingatia kuna miaka 7 mbele.
Je hakuna mwingine vichwani mwetu afaae zaidi ya membe au yeye ndiye tumemtoa chambo aanze wengine wafatie
Mimi namuona Hussein Mwinyi ni kijana mtulivu na mwenye busara
Leta majina mengine kwa 2020 october
Ka post wapi nikasome nisipitwe Mimi. Ila Msiba anayo yaandika hupata taarifa na yeye huzitoakatema cheche balaa.......
kataja watu 14 wanaomrudisha nyuma Ngosha...
Huuu ujana jamani hamuutendei haki.Kuanza kufikiria raisi mwingine ili hali aliyopo madarakani anadaiwa kuwa kipenz cha watu si habari njema hata kidogo hasa ukizingatia kuna miaka 7 mbele.
Je hakuna mwingine vichwani mwetu afaae zaidi ya membe au yeye ndiye tumemtoa chambo aanze wengine wafatie
Mimi namuona Hussein Mwinyi ni kijana mtulivu na mwenye busara
Leta majina mengine kwa 2020 october
wakagombee kwao kisiwandui zanzibar. Watanganyika tuna watu wa kutoshaKwa nini wazanzibar?
(Idiotism at work,you just think about your loaf and not your future), Membe is the best president ever compared to JiweHivi hizi Hela / Pesa ambazo Membe na Kikundi chake cha ' Propaganda ' anazowapeni hadi tokea juzi, jana na leo naona kila mara mnafurika tu hapa Kumuanzishia ' Threads ' kwanini asizikusanye zote na awarudishie Familia ya Hayati Rais wa Libya Muamar Gadhaffi? Mwambieni kabisa kwamba ile ' laana ' ya yule Balozi wa Libya nchini Tanzania aliyefia Ubalozini haitomuacha salama na ni bora aanze ' Kutubu ' kama siyo ' Kuungama ' mapema. Hata afanye vipi na aende wapi Bernard Camilius Membe hawezi na hana uwezo wa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ikitokea akawa basi kwa mara ya Kwanza Tanzania jiandaeni kushuhudia Kundi la Waasi litakaloongozwa na ' Shadow General ' au ' Warlord ' aitwae GENTAMYCINE na nina uhakika ' Utawala ' wake hautokaa / hautodumu / hautochukua muda mrefu na hatimaye sasa Watanzania wote mtakuwa chini ya Uongozi wa muda wa GENTAMYCINE ambapo nitaitisha Uchaguzi mpya na halali na Mshindi ambaye nitaona anafaa Kuwaongozeni Watanzania nitamkabidhi nchi na Mimi kurejea zangu Kutiririka na Kuserereka hapa Jamvini JamiiForums kama kawaida.
Nape na Makamba wahujumu nguvu ya Magufuli kupitia mtu mzito - JamiiForumsKa post wapi nikasome nisipitwe Mimi. Ila Msiba anayo yaandika hupata taarifa na yeye huzitoa
Kwa hiyo korosho na kahawa ndio kashusha bei?mkuu yuko kwa maslahi ya nani? mbona wanyonge wanalia? korosho bei mbaya. kahawa ndo usiseme. kama mnakula kwake mteteeni mkuu ni haki yenu ila sisi watu wetu hali mbaya kiuchumi.
wakagombee kwao kisiwandui zanzibar. Watanganyika tuna watu wa kutosha
Sometimes muwe mnaacha kujitoa ufahamu. Kauli ya Membe itakufariji vipi? Membe huyu si lolote si chochote. Magufuli keshaiteka CCM yenu na hata kina Mkapa hawapumui. Mnae tu atleast until 2025Jitokeze wazi tusikie kauli yako watanzania tufarijike kwani mwaka 2020 ni jirani sana
You're really shit hole, huyu mliyenaye ana nini zaidi ya kuangamiza Taifa?...kwa hiyo wewe na akili zako kabisa unaamini Membe anaweza kuwa rais wa nchi hii mzuri ?!!.....hizo nafasi alizobebwabebwa ndio kipimo mnachompimia..?
....hamko serious kabisa
Nchi imemshinda hakuna chochote anachofanya ikulu ahondoke tu kwa kiroho safi.
Ina maana miaka.5 tumeishanyooka!? Ngoja baba jesca aje awasikie!!! Atawashukia!!!?
Membe for presidency before 2020
Kwa tikiti ya chama gani? Mnataka kumgombanisha na baba jesca?Habari wakuu
Kutokana na hali inavyoenda ya uendeshaji wa nchi ni wazi rais anatakiwa abadilishwe kupitia sanduku la kura mwaka 2020
Hivyo sisi watanzania tunapenda na tunatamani kusikia sauti ya kiongozi wetu mpendwa mwenye nia ya kulivusha taifa kwa hapa lilipokwamia, ndugu, mheshimiwa na mwanadiplomasia Benard Membe
Jitokeze wazi tusikie kauli yako watanzania tufarijike kwani mwaka 2020 ni jirani sana
Nawasilisha