Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Bernard Kamilius Membe akifanya mazoezi makali sana ya kukimbia. Nikawaida yake kujiweka fiti kimwili na kiakili kwa kula kiafya na kufanya mazoezi hili awatumikie watanzania walioshakata tamaa kwa itawala mbovu wenye choyo ufusidi na wakuwagawanya wananchi kwa matabaka.

View attachment 914322
haaaa hayo ndo mazoezi makali sana
 
hili vugu vugu ni kutoka hapo hapo lumumba kwa maana membe sio mwanachadema yaani si kamanda, magufuli kaa tambua vita vya ndani ya chama ni vibaya kuliko ukimwi. anguko lako laja wanaokupigia makofi leo kesho watakurushia makopo.
 
We baki unayoyoma Mbowe, mbowe huku ccm jiwe yafa nawe fuata upepo utachotwa humo humo.
Jiwe kila mtu kamgeuza adui, wastaafu, wafanyabiashara, watumishi na raia wasio na kundi lolote


Hakuna shida, hata kama mnamtaka Membe au Nape wote ni CCM hivyo inaonyesha hamjiamini na hamko tayari kushika dola kwani mnapenda CCM itawale.

Lkn habari ndo hiyo, Mbowe kafuta Uchaguzi mkuu chadema!
 
Nimecheka Sana hii combination ya Chadema na ccm haijawahi tokea kweli Membe for presidence

Nini kimetokea kwa elimu yangu hapa nimetoka kapa kabisa labda ikifika kesho Jtatu nitajua maana Leo Jpili

Kweli siasa ya science Huu upendo na kupendana kwa ccm na Chadema nini kimetokea?
Manunuzi waliyofanya yatawagharimu sana CCM...

Wengi wa wabunge na madiwani toka upinzani kwenda CCM walionunuliwa ni kaa la Moto huko CCM ...Pole pole na wenzake wamechemka sana..
 
Afadhali hata huyo Membe, lakini huyo pogba wa magogoni asiyejua kiingereza anaharibu nchi tu
Bora uongee hoja zingine na siyo inshu ya kiingereza ,

Watanzania wengi hatujui kiingereza , alafu kiingereza sio maendeleo,

Aliyepita mbona alikua anajua kiingereza , Sasa kimetusaidia nn ??
 
Hahahaha watu wamevurugwa vibaya mno[emoji23][emoji23][emoji23] Membe nae akiingia akazingua warudi kusema bora Magu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom