Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Membe na zitto ni wazalendo wa kweli haswaaaaaWote hovyo ni wachumia tumbo hamna mzalendo hapo. Uzalendo wao ni wa porojo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe na zitto ni wazalendo wa kweli haswaaaaaWote hovyo ni wachumia tumbo hamna mzalendo hapo. Uzalendo wao ni wa porojo tu
Mzalendo ni Nani?Wote hovyo ni wachumia tumbo hamna mzalendo hapo. Uzalendo wao ni wa porojo tu
Membe our president
Eti watanzania 50m [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]WATATUVUSHA SALAMA SISI WATANZANIA MILIONI 50
....Nyie wapinzani na chokochoko zenu. Tutawanyoosha.
Eti watanzania 50m [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Yamesemwa mengi sana juu ya hizi sura mbili na ukiona watu wanakusema sana basi ujuwe unakubalika.
Twende sasa na hawa viumbe watatuvusha salama.View attachment 954219
Mpaka dakika hii membe 10 Magufuli zeroNyie wapinzani na chokochoko zenu. Tutawanyoosha.
Mkuu piga kura yako uone matokeo mpaka sasa JPM ana sifuriUnafanishaje BM na vitu vya ajabu
Mimi pia nimeota kuwa umekufa, na umetundikwa juu ya mti na ndege wanakula maiti yako huku mbwa wakilamba damu yako, hakika hii itakuwa kweli na amen
siku zote mchawi na mchawi mwenzake.ndo maana wanakutana gizani. lao moja
Mimi pia nimeota kuwa umekufa, na umetundikwa juu ya mti na ndege wanakula maiti yako huku mbwa wakilamba damu yako, hakika hii itakuwa kweli na amen
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] me nacheka jinsi unavyoujua ukweli na kukumbatia uwongo..Kwa kucheka huko inaonyesha umekubali kazi na uzalendo wa hawa watu na upo tayari kujiunga nao kwenye safari