Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wamesha mshusha maana hakuwapa posho yao baada ya kazi ya weekend walio ifanyaWqliokupandisha ndio watakaokushusha
mifuko imejiharibu yenyewe , na kwa taarifa yako, walioingilia kati ni wataalam baada ya kuona kuwa inakwenda kufa. wala MAGUFULI hausiki.hii mifuko ilikuwa inaenda kufa kama DECI ilivyokufa. hata nani angekuwa Rais ingekufa !Jema kwetu ni kuwapunguzia wafanyakazi mafao ya kustaafu na hela ikajenge reli na miradi mikubwa mikubwa.CCM hoyeeeeeeeee!!!.....
HahahahaSasa nyie mlikuwa mnapiga Soga tu, kwani Jiwe akiamua uchaguzi ni baada ya miaka 20 mtaongea nini?
Mabwege hayo Achana nayomifuko imejiharibu yenyewe , na kwa taarifa yako, walioingilia kati ni wataalam baada ya kuona kuwa inakwenda kufa. wala MAGUFULI hausiki.hii mifuko ilikuwa inaenda kufa kama DECI ilivyokufa. hata nani angekuwa Rais ingekufa !
Nichague mm bacUsiwe mpumbavu wewe, Membe is a useless man, si mchumi ila ni mwizi tu. Jamaa aliiba sana enzi zake na kumchagua yeye ni sawa na kumrudisha Kikwete madarakani. Hatumuhitaji.
chakula murua cha kuku.......mifuko imejiharibu yenyewe , na kwa taarifa yako, walioingilia kati ni wataalam baada ya kuona kuwa inakwenda kufa. wala MAGUFULI hausiki.hii mifuko ilikuwa inaenda kufa kama DECI ilivyokufa. hata nani angekuwa Rais ingekufa !
ujue kaishiwa point , kabakiwa na chakula cha kukuchakula murua cha kuku.......
Avataa yako yenyewe inaonyesha wewe ni shetani kiasi gani.Mabwege hayo Achana nayo
Shetani mwenye uhutuKuna rafiki zangu flani tulikuwa tukipata msosi mahali usiku, tukaanza kumzungumzia jiwe na mpinzani wake Membe.
Mmoja alisema iwe isiwe jiwe anang'olewa na maccm wenzake, nikamwambia haiwezekani.
Akasema ohoo ccm ina wenyewe na wenyewe hawamtaki jiwe, kama huamini unakumbuka Nkamia alipoinuka na hoja ya kumwongezea jiwe miaka?
Unakumbuka Msekwa alivyomjibu?
Umemsikia Nkamia tena?
Akasema na sasa jiwe anamtumia Musiba na Katibu wa ccm, je umemsikia Msekwa alivyorespond?
Nikamwambia lkn Membe na jiwe ni wale wale tu ni watu wa visasi.
Akajibu, ni kweli Membe ni dhaifu lkn sio sawa na Jiwe;
Akasema hivi;
Heri mtu mwenye "USHETANI kidogo"
KULIKO shetani mwenye utu kidogo
maana yake;
Membe=mtu mwenye ushetani kidogo
Jiwe =shetani mwenye utu kidogo
by rafiki yangu na sio mimi
Haya chagueni wenyewe
heri mimi sikusema[emoji23][emoji23][emoji23]Shetani mwenye uhutu
Na Jiwe akiamua kulifungia bunge hadi atakapoamua mtapigia wapi hiyo kura?Wabunge wa CCM ambao ni wengi wakiamua kupiga kura ya kutokuwa na imani naye utaongea nini?
Jiwe afe!thread nyingine jamani, hivi watanzani jema ni lipi Kwenu ? hivi mazuri yoooote yanayofanyika hatuyaoni. Kukiwa na UFISADI kelele, kukiwa na UDHIBITI na ujenzi wa MIRADI kelele. sasa jema ni lipi kwenu ?
nafikiri umeona mimi sijatia
Utakuwa unafikiri kwa kutumia masaburi si bure!mifuko imejiharibu yenyewe , na kwa taarifa yako, walioingilia kati ni wataalam baada ya kuona kuwa inakwenda kufa. wala MAGUFULI hausiki.hii mifuko ilikuwa inaenda kufa kama DECI ilivyokufa. hata nani angekuwa Rais ingekufa !
Na Jiwe akiamua kulifungia bunge hadi atakapoamua mtapigia wapi hiyo kura?