Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Njia pekee iliyobaki ni hiyo Kurejesha Matumaini ya watanzania waliokata tamaa na utawala huu.
Badili gia hewani Mbowe. Kama ilivyokuwa 2015 kwa EL.

BABA MEMBE KARIBU UKAWA.

Wadau mnaonaje.!?
Na wakifanya hivyo basi watakuwa wameuzika rasimi upinzani, maana kwa ile political damage aliyoifanya Lowasa siku za karibuni tayari imeshawachafua watu nafsi, hawana imani tena na wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wakifanya hivyo basi watakuwa wameuzika rasimi upinzani, maana kwa ile political damage aliyoifanya Lowasa siku za karibuni tayari imeshawachafua watu nafsi, hawana imani tena na wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Damage ipi busara za EL ndo amani yetu hadi sasa angetamka neno tu the hague ingeshapokea wakimbizi toka tz.
 
Chadema wasijaribu tena kuwaalika hao mamluki na kuwapa uongozi wa juu tena waje kama wanachama wa kawaida
 
Akienda huko ni yale yale kama lowasa
Njia pekee iliyobaki ni hiyo Kurejesha Matumaini ya watanzania waliokata tamaa na utawala huu.
Badili gia hewani Mbowe. Kama ilivyokuwa 2015 kwa EL.

BABA MEMBE KARIBU UKAWA.

Wadau mnaonaje.!?
 
Membe ana jipya gani? povu anazomwaga kwa sasa nivile jiwe kamtoa kwenye ugali hiyo ndio kawaida ya mwanagamba yoyote! ukimkaribisha akishindwa lazima ataunga juhudi....halafu utawala wa hovyo wa jiwe hahitajiki membe kuja upinzani sababu jiwe hashindi uchaguzi sababu kura no ni Dola.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Isingekuwa ruzuku tungegomea uchaguzi kama tulivofanya kwenye serikali za mitaa.
 
Njia pekee iliyobaki ni hiyo Kurejesha Matumaini ya watanzania waliokata tamaa na utawala huu.
Badili gia hewani Mbowe. Kama ilivyokuwa 2015 kwa EL.

BABA MEMBE KARIBU UKAWA.

Wadau mnaonaje.!?


UNATAKA SASA WAKALICHUKUE MAFIA JENGINE ?? 😛 😛 😛 😛 😛
 
Membe apambane ndani ya chama Ukawa itafute mtu pure kutoka upinzani membe hana nafasi ndani ya upinzani.
 
Njia pekee iliyobaki ni hiyo Kurejesha Matumaini ya watanzania waliokata tamaa na utawala huu.
Badili gia hewani Mbowe. Kama ilivyokuwa 2015 kwa EL.

BABA MEMBE KARIBU UKAWA.

Wadau mnaonaje.!?
UKAWA ilishakufa!
 
Damage ipi busara za EL ndo amani yetu hadi sasa angetamka neno tu the hague ingeshapokea wakimbizi toka tz.
Kama mpaka sasa hivi bado hujaona damage iliyotokana na defection ya Lowassa na Sumaye kutoka upinzani kurudi CCM basi wewe uko kwenye usingizi mzito sana.

Kiufupi wapinzani sasa wana kazi ya ziada sana kuwashawishi wananchi waendelee kuwaamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom