Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

Kapata jina jipya "Mama Tozo"
 
Hii ni dhana tu unayoitunga hapa.

Huyo mama angeonyesha uwezo wa kuongoza dhana yako isingekuwepo. Mama hana uwezo wa uongozi, sio tu kwa sababu yeye ni mwanamke.
Nchi yetu imejaa wapigaji na wajanjawajanja wengi,kuongoza mwanamke ni ngumu Sana.
Sanasana wanaokula mezani kwake ndo watapinga ukweli.

Mwendazake pamoja na ukali wake aliendelea kutumbua watendaji mpaka alipoitwa na Israel.
Hi miaka anayomalizia mama ahakikishe Mambo yote ya wazanzibari yamekaa sawa,wasije kumlaumu.

Maana hiyo 5 ni fumbo,naogopa historia maana inatabia ya kujirudia.Yaliyotokea kwa Joyce Banda yasije jirudia.
 
Mkuu samahani mm sio Ngosha na wala siko upande ule ila nayaona yanayoratibiwa na wao. Ni suala la muda Tu nawe utagundua jambo Lao.
Labda mwenyewe awe hana Nia ya kugombea 2025. Nguvu za Mwenyekiti wa CCM kwa wanachama wake ni nyingi kuliko nguvu Rais wa Tanzania kwa wananchi. Mwenyekiti anaweza akaanzisha zengwe la kukufuta kama Magufuli alivyo mfuta Benard Membe na asiulizwe na mtu.

Sana sana wenye kuutaka Urais inabidi wajikombe vizuri kwake ili mwaka 2030 awaunge mkono.
 
Kama vipi mama apindue meza, amalizie 4 aliyorithi kwa JPM. Halaf aanze na mikumi yakwake hadi 2035, amwachie Doroth Gwajima.
Sisi wanaume tumeshatawala sana toka uhuru, sasa ni zama ya wa kina mama.
Wanawake hoyeeeeee
 
Kama vipi mama apindue meza, amalizie 4 aliyorithi kwa JPM. Halaf aanze na mikumi yakwake hadi 2035, amwachie Doroth Gwajima.
Sisi wanaume tumeshatawala sana toka uhuru, sasa ni zama ya wa kina mama.
Wanawake hoyeeeeee
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2996]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Naomba Gwajima kama mnamawasiliano nae mumwambie achukue fomu awe na timu ya watu wawili Polepole na Jerry slaa.
Wengine anaweza kuongezea
 
Mama yupi Mkuu? Huyu huyu au mwingine? Kawekewa mtego na tayari keshanaswa. Hana pakupumulia tena. "Wasukuma Wanaamini kuwa ng'ombe wanaoswagwa na mwanamke kamwe hawafiki mnadani" . Dalili tayari ziko wazi.
Kule kanda ya ziwa wataupiga mwingi sana kwenye uchaguzi ujao, waswahili wana msemo wa usitukane mamba ungali hujavuka mto. Sina uhakika kama ushawishi wa boyz2men utakuwa na nguvu safari hii huko kanda ya ziwa, akina ngosha wanawasoma tu.
 


Nakubaliana na wewe asilimia zote, alivyo wavalisha watu barakoa na kutii hana mpinzani wasubirie 2030 tu.
 
Namna pekee ya kumzuia mwenyekiti wa CCM wa sasa asipeperushe bendera yao come 2025 ni either (1)Aaamue mwenyewe bila shinikizo kutokuchukau form au (2) afe/auawe. Otherwise hawana cha kumfanya kwa kuwa Katiba yao ipo wazi na mtu mwingine yeyote serious hatopewa form.

Msijitoe ufahamu
 

Ulipowataja Asharose Migiro na Mary Nagu hoja yako ikapata ulemavu. Huwezi kuwa na running mate anayetoka upande uleule wa Muungano anaotoka presidential candidate!
 
Tafadhalini tusipewe tema Msukumamizigo.
Bado wana ushamba flani kama alivyotamka Napelepe.
Wa kujilinganisha na mungu Dogani.
 

Sio kwa Bongo yetu; labda Mama aamue kujiweka pembeni mwenyewe. Otherwise, atakayetaka kushindana na kiti ataambulia kuzittokabweiwa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…