Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alamsiki.
Ndimi
Abdallah Juma Mserembwe
Zanzibar
Duh...!.Urais Zanzibar 2020: Barua kwa Balozi Ali Abeid Amani Karume
Kwamba ulimbaka binti wa watu na kama hiyo haitoshi ukamuondolea uhai na kwenda kumtupa ufukweni. umbu.
Alamsiki.
Ndimi
Abdallah Juma Mserembwe
Zanzibar
Duh Kuna sehemu pia anasema aliwala watu fulani jicho bila ridhaa yao kama ni Kweli basi ni balaaHivi ni kweli alibaka na kua demu? Ccm inaficha menginaisee
Unapotangaza kuwa unataka kuoa ndio watu wanaalikwa kutoa dukuduku. SASA USISHANGAE BAADA YA KUTANGAZA NIA NDIO UNAPATA HAYA.Wote wanafiki wakubwa ,CCM mnatakiwa muondoke,
Kama mchafu mbona mda wote mmekuwa kimya na huwa mnaimba kwamba nitasema ukweli daima,ili iweje ?haya tunasubiri na uchafu wa Hussein Mwinyi na wengineo
Na ndipo unafiki unapoonekana dhahiri,kama tuhuma ni za kweli huyu bwana alitakiwa kuwa jela achilia mbali kuwa mtaani,lakini kwa mshangao ni waziri,subiri sasa uone akikosa uraisi kama ataitwa polisi kuulizwa,itakuwa ndio imeisha hio,na akiupata hakuna wa kumsogeleaUnapotangaza kuwa unataka kuoa ndio watu wanaalikwa kutoa dukuduku. SASA USISHANGAE BAADA YA KUTANGAZA NIA NDIO UNAPATA HAYA.
Swadaktaaa...!!MSIHANGAIKE NA ALI.KUSEMA LILE LA UKWELI ,RAIS ALICHUKUA FOMU JANA .CHEMA KINAJIUZA NA KIBAYA KINAJITEMBEZA.KUNA WATOTO WALIOLELEWA NA WAKALELEKA BWANA.
Sasa yana jidhihirishaWanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
Nani msafi hapo lumumba????labda ujauzito wa makada wa ccm!!!
Walijaribu kuachiana maji juzi mmoja akakutwa mhimbili akiwa ajitambui. Mamnosasa kasema atamtafuta aliyemwekea sumu mpaka Leo so mambo sasa wala sirro mwenye kumtafuta
Mugambo wanaruka na kukanyagana
Wote wanafiki wakubwa ,CCM mnatakiwa muondoke,
Kama mchafu mbona mda wote mmekuwa kimya na huwa mnaimba kwamba nitasema ukweli daima,ili iweje ?haya tunasubiri na uchafu wa Hussein Mwinyi na wengineo