Zanzibar 2020 Urais Zanzibar 2020: Barua kwa Balozi Ali Abeid Amani Karume (Barua ikilenga kumchafua)

Zanzibar 2020 Urais Zanzibar 2020: Barua kwa Balozi Ali Abeid Amani Karume (Barua ikilenga kumchafua)

Alamsiki.
Ndimi
Abdallah Juma Mserembwe
Zanzibar

Wewe nawe umejirundikia manaya kwako, umeandika hayo yote kwa kujaa wivu tu. Pole kwamba haukupata bahati kama yake maishani. Na kama alitenda hayo yote, polisi unapafahamu.

Shame on you
 
Dhambi ya ubaguzi kama alivyoieleza Nyerere. ..
Utajiuliza kuwa kwanini sasa ndio masuala haya yanawekwa hadharani? Ali ni tishio kiasi hicho kati ya wagombea wote Tisa hadi sasa?
Kwa mujibu wa mwandishi, yeye na Ali wanafahamiana siku nyingi kiasi anayafahamu hadi matukio ya enzi za hayati Karume, ni kweli kwamba amekosa nafasi ya kuonana naye na kuwasilisha anachotaka tukiamini?

Nilianza kwa kumkubuka Nyerere alipoeleza juu ya ubaguzi, ninamaliza kwa kukumbuka matukio ya hivi karibuni ya wana ccm kumshutumu, mwanasiasa mmoja kwa " ulevi", hata mwangwi wa tuhuma hizo haujatulia, wana ccm wenyewe wanaanza kurusha tuhuma hizo hizo kati yao.
 
Wote wanafiki wakubwa ,CCM mnatakiwa muondoke,

Kama mchafu mbona mda wote mmekuwa kimya na huwa mnaimba kwamba nitasema ukweli daima,ili iweje ?haya tunasubiri na uchafu wa Hussein Mwinyi na wengineo
Unapotangaza kuwa unataka kuoa ndio watu wanaalikwa kutoa dukuduku. SASA USISHANGAE BAADA YA KUTANGAZA NIA NDIO UNAPATA HAYA.
 
Huyu bwana Mserembwe ni mnafki na chawa wa mgombea mmoja wapo wa Urais ZnZ. Hoja yake ya Ulevi haina mashiko na anapika majungu.

Hoja zake zote ni za kubumba tu.

Ningemuelewa pengine angesema Zanzibar sio Taifa la kifalme kwamba Baba yake Ali, Kaka yake na yeye wote wawe Ma Rais wa Zanzibar. Hapa ajagusa kabisa ni wazi Mserembwe kaikwepa hoja hii kwa makusudi maalum.

"Mimi na Wazanzibari" Anawahusisha wazanzibar wote katika hoja zake za kubumba. Mpumbavu sana huyu bwana
 
Unapotangaza kuwa unataka kuoa ndio watu wanaalikwa kutoa dukuduku. SASA USISHANGAE BAADA YA KUTANGAZA NIA NDIO UNAPATA HAYA.
Na ndipo unafiki unapoonekana dhahiri,kama tuhuma ni za kweli huyu bwana alitakiwa kuwa jela achilia mbali kuwa mtaani,lakini kwa mshangao ni waziri,subiri sasa uone akikosa uraisi kama ataitwa polisi kuulizwa,itakuwa ndio imeisha hio,na akiupata hakuna wa kumsogelea
 
Duh' hatari sana hii,
Baada ya kumvua nguo hadharani jamaa kaamua kumtia na dole pale kati
 
Hawajitaki?
Walijaribu kuachiana maji juzi mmoja akakutwa mhimbili akiwa ajitambui. Mamnosasa kasema atamtafuta aliyemwekea sumu mpaka Leo so mambo sasa wala sirro mwenye kumtafuta
 
Tutayaona mengi sana hadi yaliyo fukiwa na kuoza kipindi hiki yatafukuliwa
Wote wanafiki wakubwa ,CCM mnatakiwa muondoke,

Kama mchafu mbona mda wote mmekuwa kimya na huwa mnaimba kwamba nitasema ukweli daima,ili iweje ?haya tunasubiri na uchafu wa Hussein Mwinyi na wengineo
 
Back
Top Bottom