Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Shida ni fomu ya uraisi ama nini??
Mbona hamkuyasema zaman haya yote??
Kama ni ya kwelii? dah inasikitisha
Mbona hamkuyasema zaman haya yote??
Kama ni ya kwelii? dah inasikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo hapana hata kimoja cha uongo, Kama huamini nenda Zanzibar au hata muulize rafiki yako yoyote aliepo Zanzibar akuthibitishie haya ila sharti awe ni mtu wa makamo au mzee.Wewe nawe umejirundikia manaya kwako, umeandika hayo yote kwa kujaa wivu tu. Pole kwamba haukupata bahati kama yake maishani. Na kama alitenda hayo yote, polisi unapafahamu.
Shame on you
Sasa mjukuu atayajulia wapi!?Fatuma karume aje atueleze hii ya kuficha pesa ughaibuni asije akawa anarusha mawe wakati yuko kwenye nyumba ya kioo hii ya mauaji inajulikana muda mrefu
Madhalimu sana hawa jamaaMzee Mangula walitaka kumdedisha
Tulia dawa iingie vizuri uponeWewe nawe umejirundikia manaya kwako, umeandika hayo yote kwa kujaa wivu tu. Pole kwamba haukupata bahati kama yake maishani. Na kama alitenda hayo yote, polisi unapafahamu.
Shame on you
Huko CCM ni kama Sodoma na GomoraDuh Kuna sehemu pia anasema aliwala watu fulani jicho bila ridhaa yao kama ni Kweli basi ni balaa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mdanganyeni aendelee na hizo mbio muone atakavyonyonyolewaHuyu bwana Mserembwe ni mnafki na chawa wa mgombea mmoja wapo wa Urais ZnZ. Hoja yake ya Ulevi haina mashiko na anapika majungu.
Hoja zake zote ni za kubumba tu.
Ningemuelewa pengine angesema Zanzibar sio Taifa la kifalme kwamba Baba yake Ali, Kaka yake na yeye wote wawe Ma Rais wa Zanzibar. Hapa ajagusa kabisa ni wazi Mserembwe kaikwepa hoja hii kwa makusudi maalum.
"Mimi na Wazanzibari" Anawahusisha wazanzibar wote katika hoja zake za kubumba. Mpumbavu sana huyu bwana
Of course ni Urais, kama hayo makandokando yalivumiliwa katika level za chini lakini kwenye ngazi ya Urais wa Nchi hapana.Shida ni fomu ya uraisi ama nini??
Mbona hamkuyasema zaman haya yote??
Kama ni ya kwelii? dah inasikitisha
Jela huku ulimwengu wa tatu, Ni za masikini Mkuu. Tabaka tawala liende jela? Africa? Hata ukamilifu wa dahari.Na ndipo unafiki unapoonekana dhahiri,kama tuhuma ni za kweli huyu bwana alitakiwa kuwa jela achilia mbali kuwa mtaani,lakini kwa mshangao ni waziri,subiri sasa uone akikosa uraisi kama ataitwa polisi kuulizwa,itakuwa ndio imeisha hio,na akiupata hakuna wa kumsogelea
Ni kaka ake au?Atakuwa anachekelea huko alipo,kwa sababu haivi na huyu Ally
yupo wapi uyo shoga?Hawa watoto wa Kizanzibari wasenge sana kuna mwingine kada mtiifu anaitwa kiringo sijui anawafukua tu mitaro makada wenzake na watoto wadogo
Fatma alikuwa mtoto hajui chochote. Shangazi aachwe anafanya kazi ya Umma vizuri, aulizwe baba yake.Fatuma karume aje atueleze hii ya kuficha pesa ughaibuni asije akawa anarusha mawe wakati yuko kwenye nyumba ya kioo hii ya mauaji inajulikana muda mrefu
Urais kama maandalizi ya kuoa kanisani, kama una makombo kombo lazima watangaze Mara tatu kuonfoa zuio LA kupokea sakalament. Ali kama ana madhambi, urais no sakalament isyo na doaUnapotangaza kuwa unataka kuoa ndio watu wanaalikwa kutoa dukuduku. SASA USISHANGAE BAADA YA KUTANGAZA NIA NDIO UNAPATA HAYA.