Zanzibar 2020 Urais Zanzibar: Kwanini nawapa chapuo Makame na Mwinyi

Zanzibar 2020 Urais Zanzibar: Kwanini nawapa chapuo Makame na Mwinyi

Kura iende kwa Mbarawa,huyu mwingine anasafiria nyita ya baba yake,haiwezekani watoto wa maraisi ndio wawe tu wawe wanarithi mikoba ya baba zao,ilianza kwa Karume na sasa inakuja kwa Mwinyi na baadae tutaja sikia mtoto wa Shein,kama si Mbarawa basi mama makamu wa raisi angejitosa.Nyerere hakuwaandaa watoto zake waje kuwa maraisi wa baadaye mwishowe huu mnyororo utazidi kuendelea tusipoukata mapema,baba alikuwa raisi Zanzibar, akaja serikali ya muungano na baado nae mtoto anautaka uraisi,baada ya Zanzibar atakuja kuutaka wa Muungano. Mambo ya kusafiria nyota ya wawazazi na mamlaka za wazazi yamepitwa na wakati.
Kwani katiba inawazuia watoto wa viongozi kugombea?
 
Mwinyi hapo anatoboa.Zanzibar wana upemba na uunguja.Rais anaemaliza muda wake ni mpemba.
Licha ya upemba wake, Prof Makame anastahili zaidi kuliko Hussein. Katika kipindi cha miaka mitatu alichokaa wizara ya ujezi amefanikiwa sana kuibadilisha wizara nahasa utendaji wa taasisi zake kama Bandari na Shirika la Reli na hata TANROADS aliwasimamia vizuri sana. Amepimwa na amefaulu mtihani tena kwa kishindo.

Simsemi sana Hussein kutokana na kutokupata kipimo sahihi cha kuongoza key ministries - mfano ujenzi, kilimo, mifugo au wizara ya viwanda. Kudumu kwake wizara ya ulinzi kunatokana na fact kwamba ni wizara iliyo structured na haiingiliwi kiutendaji na hata kimaamuzi kwa zaidi ya asilimia tisini. To me, Prof Makame is the best
 
Licha ya upemba wake, Prof Makame anastahili zaidi kuliko Hussein. Katika kipindi cha miaka mitatu alichokaa wizara ya ujezi amefanikiwa sana kuibadilisha wizara nahasa utendaji wa taasisi zake kama Bandari na Shirika la Reli na hata TANROADS aliwasimamia vizuri sana. Amepimwa na amefaulu mtihani tena kwa kishindo.
Simsemi sana Hussein kutokana na kutokupata kipimo sahihi cha kuongoza key ministries - mfano ujenzi, kilimo, mifugo au wizara ya viwanda. Kudumu kwake wizara ya ulinzi kunatokana na fact kwamba ni wizara iliyo structured na haiingiliwi kiutendaji na hata kimaamuzi kwa zaidi ya asilimia tisini. To me, Prof Makame is the best
Umeongea point mkuu,ngoja tusubiri
 
Tunajua kanisa katoliki limeshaamua na tumejiandaa kwa mengi tu kumpokea
Hakuna kanisa linalohusika hapo. Ni CCM pekee, nambari wani, mbele kwa mbele, na haijaanza leo.
Au unataka kutuambia kuwa Jecha Salim Jecha alitumwa na kanisa katoliki?
 
Licha ya upemba wake, Prof Makame anastahili zaidi kuliko Hussein. Katika kipindi cha miaka mitatu alichokaa wizara ya ujezi amefanikiwa sana kuibadilisha wizara nahasa utendaji wa taasisi zake kama Bandari na Shirika la Reli na hata TANROADS aliwasimamia vizuri sana. Amepimwa na amefaulu mtihani tena kwa kishindo.
Simsemi sana Hussein kutokana na kutokupata kipimo sahihi cha kuongoza key ministries - mfano ujenzi, kilimo, mifugo au wizara ya viwanda. Kudumu kwake wizara ya ulinzi kunatokana na fact kwamba ni wizara iliyo structured na haiingiliwi kiutendaji na hata kimaamuzi kwa zaidi ya asilimia tisini. To me, Prof Makame is the best
Kwa mtazamo wako Wizara ya Ulinzi siyo key ministry?
 
Hakuna kanisa linalohusika hapo. Ni CCM pekee, nambari wani, mbele kwa mbele, na haijaanza leo.
Au unataka kutuambia kuwa Jecha Salim Jecha alitumwa na kanisa katoliki?
Kwani hivi hujui CCM ni ya kanisa katoliki? Tukuletee ushahidi?
 
Hakuna kanisa linalohusika hapo. Ni CCM pekee, nambari wani, mbele kwa mbele, na haijaanza leo.
Au unataka kutuambia kuwa Jecha Salim Jecha alitumwa na kanisa katoliki?
Kwani hivi hujui CCM ni ya kanisa katoliki? Tukuletee ushahidi?
 
Chaguo la Magufuli ni Makame Mbarawa. Lakini Hussein ana sukumwa na group ya babake. Sasa wazanzibari wanapiga kura kwa Maalim Seif. Nguvu ya umma vs vyombo vya usalama. Makame alikataliwa jimboni kwao. Alikuja Magufuli pemba na kuwatukana na kuwakejeli wapemba kuwa aliwaletwa mtu msomi wakampiga na chini. Magufuli alisema anawashangaa sana wapemba. Pili, Hussein hatakiwa na CCM zanzibar na hii inaonekana wazi katika huu mchakato wa kinyang'anyiro. Hata hivo upande wa ccm watamchaguwa Mbarawa kwa vile yeye ndiye mastermind wa kuvuruga kura akimshirikisha Jecha. Mwaka huu kipigo watakachopata CCM zenji hawataaamini lakini ikiwa watalazimisha mtu wao basi wajuwe watatuuwa wengi na wao pia watakufa. Hamna njia nyengine. Hivi ndio Magufuli ametaka na zawadi yake ni maiti watakao zikwa wakati huo. Vyenginevo waache kura zipigwe bila mizengwe.
Wazenji mna mikwara sana lakini mwisho wa siku huwa mnaufyata tu...
 
Hadi sasa wamefikia 22 [emoji2817][emoji2817][emoji2817]
 
Back
Top Bottom