Zanzibar 2020 Urais Zanzibar: Kwanini nawapa chapuo Makame na Mwinyi

Zanzibar 2020 Urais Zanzibar: Kwanini nawapa chapuo Makame na Mwinyi

Ni kweli kwani huu uvamizi uliopewa jina la muungano hauna faida yoyote si kwa Tanganyika wala Zanzibar,zaidi ya kuwalinda mafia na wezi wa CCM
Oh kumbe!
Basi jiandae kumpokea Rais mpya Dr Hussein Ali Mwinyi
 
Hata uongozi na madaraka ni neema toka kwa Mungu, sio kwamba fulani akipata uongozi ndio so special au kuna sbb maalum, au ana elimu sanaa, ni bahati tu. Likewise ww kuwa hai hadi leo hii ni neema tu, ndivyo ilivyo. Hivyo hata Makame akiwa Rais wa Zanzibar ni neema tu, bahati, so tusiseme hawezi au hafai, tuache bahati ya mtu, huwezi jua, hata ww siku moja unaweza kuwa Rais wa nchi yako, huwezi jua, haya mambo mengine ni neema ya Mungu tu

Labda ndivyo anavyowadanganya Pengo na chaguo la mungu ,kama vile naye anatia goli la mkono
 
Hivi huyu mbarawa ukaribu wake na rais ukoje mbona sijaling'amua hilo
 
Hivi huyu mbarawa ukaribu wake na rais ukoje mbona sijaling'amua hilo
Angalia hili jibu...
Kwa nini marehemu Pierre Nkurunziza alimrithisha Evariste Ndayishimiye urais?
 
Kitu jecha aliwafanyia CUF 2015 hawatasahau ila zaidi hii supuraizi amewafanyia ccm mwaka huu hawajui wafanye nini
 
Sawa.
Kwani kuna shida gani akiendelea bila kikomo. .kwani wewe unachotaka upewe nafasi hiyo pia au unahitaji maendeleo na huduma nzuri kwa wananchi..Au unataka iwe kama fashion tu leo wewe kesho yule. Mfano China wameweza kumuweka Rais akae wana vyotaka wananchi. Wananchi wanahesabu kama ndani ya miaka mitano kununua ndege 11, basi ndani ya miaka 10 zitanunuliwa ndege 22..simple calculation
 
Chaguo la Magufuli ni Makame Mbarawa. Lakini Hussein ana sukumwa na group ya babake. Sasa wazanzibari wanapiga kura kwa Maalim Seif. Nguvu ya umma vs vyombo vya usalama.

Makame alikataliwa jimboni kwao. Alikuja Magufuli pemba na kuwatukana na kuwakejeli wapemba kuwa aliwaletwa mtu msomi wakampiga na chini. Magufuli alisema anawashangaa sana wapemba. Pili, Hussein hatakiwa na CCM zanzibar na hii inaonekana wazi katika huu mchakato wa kinyang'anyiro.

Hata hivo upande wa ccm watamchaguwa Mbarawa kwa vile yeye ndiye mastermind wa kuvuruga kura akimshirikisha Jecha. Mwaka huu kipigo watakachopata CCM zenji hawataaamini lakini ikiwa watalazimisha mtu wao basi wajuwe watatuuwa wengi na wao pia watakufa. Hamna njia nyengine. Hivi ndio Magufuli ametaka na zawadi yake ni maiti watakao zikwa wakati huo. Vyenginevo waache kura zipigwe bila mizengwe.
 
CCM hamuijui nyinyi. Nyie pigeni ramli zenu tu. Kumbukeni ya Dr. Shein alivyoteuliwa, mlitajataja watu hivyo hivyo.
 
Chaguo la Magufuli ni Makame Mbarawa. Lakini Hussein ana sukumwa na group ya babake. Sasa wazanzibari wanapiga kura kwa Maalim Seif. Nguvu ya umma vs vyombo vya usalama. Makame alikataliwa jimboni kwao. Alikuja Magufuli pemba na kuwatukana na kuwakejeli wapemba kuwa aliwaletwa mtu msomi wakampiga na chini. Magufuli alisema anawashangaa sana wapemba. Pili, Hussein hatakiwa na CCM zanzibar na hii inaonekana wazi katika huu mchakato wa kinyang'anyiro. Hata hivo upande wa ccm watamchaguwa Mbarawa kwa vile yeye ndiye mastermind wa kuvuruga kura akimshirikisha Jecha. Mwaka huu kipigo watakachopata CCM zenji hawataaamini lakini ikiwa watalazimisha mtu wao basi wajuwe watatuuwa wengi na wao pia watakufa. Hamna njia nyengine. Hivi ndio Magufuli ametaka na zawadi yake ni maiti watakao zikwa wakati huo. Vyenginevo waache kura zipigwe bila mizengwe.
Haya maneno hata kwenye kanga yapo
 
Back
Top Bottom