Zanzibar 2020 Urais Zanzibar: Kwanini nawapa chapuo Makame na Mwinyi

Zanzibar 2020 Urais Zanzibar: Kwanini nawapa chapuo Makame na Mwinyi

Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Prof. Makame Mbarawa amechukua fomu za kuwania kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia chama cha mapinduzi uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka huu mwezi wa kumi (Oktoba).

View attachment 1483447
PICHA: Prof. Makame Mbarawa kushoto na Dr. Hussein Mwinyi kulia...

Wote wanaifaa Tanganyika kuendelea kuifisidi Zanzibar na watu wake. NI VIBARAKA NAMBARI MOJA NA NI MIJOGA YA KUTUPWA KAMA ALIVYO SHEIN
 
Wote wanaifaa Tanganyika kuendelea kuifisidi Zanzibar na watu wake. NI VIBARAKA NAMBARI MOJA NA NI MIJOGA YA KUTUPWA KAMA ALIVYO SHEIN
Lakini hawa siyo watanganyika ndugu ni damu ya unguja na pemba hao, sasa wataifisidi vipi Zanzibari?.
 
Kwa maslahi mapana ya muungano, atakayefaa kuongoza Zanzibar ni Dr Hussein Mwinyi. Profesa Mbarawa apewe umakamu wa Rais wa Zanzibar.

Hao wengine tuwatakie kila la kheri kwenye shughuli zao nyingine.
 
Kwa maslahi mapana ya muungano, atakayefaa kuongoza Zanzibar ni Dr Hussein Mwinyi.
Profesa Mbarawa apewe umakamu wa Rais wa Zanzibar.
Hao wengine tuwatakie kila la kheri kwenye shughuli zao nyingine.
Ni kweli kwani huu uvamizi uliopewa jina la muungano hauna faida yoyote si kwa Tanganyika wala Zanzibar,zaidi ya kuwalinda mafia na wezi wa CCM
 
Hahaha Makame na Mwinyi kule Zanzibar ni mamluki wa bara, wao wanataka Mzanzibari, sio hawa wanaopandikizwa na ccm ya Dodoma na Lumumba.
 
Njaa hawaiwezi wanaweza hata kukuuza wewe
Mzee wa fumba vipi mbona unawapiga sana misumari hawa viongozi wako, inaonekana hata muungano haupendi kabisa?
 
Uhai anatoa Mungu, Unataka kuniambiaa CCM kaunda Mungu? 😜 😜 😜

Hata uongozi na madaraka ni neema toka kwa Mungu, sio kwamba fulani akipata uongozi ndio so special au kuna sbb maalum, au ana elimu sanaa, ni bahati tu. Likewise ww kuwa hai hadi leo hii ni neema tu, ndivyo ilivyo.

Hivyo hata Makame akiwa Rais wa Zanzibar ni neema tu, bahati, so tusiseme hawezi au hafai, tuache bahati ya mtu, huwezi jua, hata ww siku moja unaweza kuwa Rais wa nchi yako, huwezi jua, haya mambo mengine ni neema ya Mungu tu
 
Hussein Mwinyi akipitishwa kugombea Zanzibar mjue Mzee Baba atabadili katiba aendelee bila ukomo.
Kwani kuna shida gani akiendelea bila kikomo. .kwani wewe unachotaka upewe nafasi hiyo pia au unahitaji maendeleo na huduma nzuri kwa wananchi..Au unataka iwe kama fashion tu leo wewe kesho yule.

Mfano China wameweza kumuweka Rais akae wana vyotaka wananchi. Wananchi wanahesabu kama ndani ya miaka mitano kununua ndege 11, basi ndani ya miaka 10 zitanunuliwa ndege 22..simple calculation
 
Back
Top Bottom