Zanzibar 2020 Urais Zanzibar: Kwanini nawapa chapuo Makame na Mwinyi

Zanzibar 2020 Urais Zanzibar: Kwanini nawapa chapuo Makame na Mwinyi

mkuu nimeelewa andiko lako ila yote kwa yote mwinyi ni President material ukiachana na hata huku bara anafaa sana mda ukifika ,huo ni mtazamo wangu kwa muonekano wake ila sijui ya moyoni mwake maana madaraka watu wakisha pata hubadika sana,na kusahau wametokea wapi hata kuwasahau walio nyuma yao hasa wananchi
Mnaosema mwinyi ni presidential material hebu orodhesheni achievements zake hapa chini, Bora hata Makame mbarawa tunaona Alivyosimamia Ruwasa na Tanzania kwasasa miradi ya maji vijijini inasambaa kwa kasi.


Ifike muda tuwe tunachagua viongozi kwa achievements zao. Nitajieni achievements za Huyo mwinyi.

1.
2.
3.
4.
5.

Ili tuone
 
Safari tunamtaka Raisi wa Zanzibar anayeishi Zanzibar na sio wanaishi na kufanyakazi Tanganyika.
Tunamtaka Mzanzibari Mkazi na sio wa kit kea Dodoma.
Ni SHAMSI VUAI NAHODHA.

Mzanzibari wa kuzaliwa, mwenye uzoefu wa kuwaongoza Wazanzibari kwa weledi wa kutosha na mkazi wa Zanzibar.
 
Mbarawa yupo njema sana ni mtu wa field na sio mwoga.

Mwinyi anatembelea nyota ya Baba yake, ni mpole na ni rahisi kuburuzwa.
 
Safari tunamtaka Raisi wa Zanzibar anayeishi Zanzibar na sio wanaishi na kufanyakazi Tanganyika.
Tunamtaka Mzanzibari Mkazi na sio wa kit kea Dodoma.
Ni SHAMSI VUAI NAHODHA.

Mzanzibari wa kuzaliwa, mwenye uzoefu wa kuwaongoza Wazanzibari kwa weledi wa kutosha na mkazi wa Zanzibar.

Huwa mnashindwa kuuficha ubaguzi wenu na huu ndio udhaifu mnaozaliwa nao mpaka mnakufa nao.
 
Mwinyi hapo anatoboa.Zanzibar wana upemba na uunguja.Rais anaemaliza muda wake ni mpemba.
Mwinyi hana vyote si unguja si pemba na atapewa kipao mbele ili tu z'bar iendee kutawaliwa
 
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Prof. Makame Mbarawa amechukua fomu za kuwania kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia chama cha mapinduzi uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka huu mwezi wa kumi (Oktoba).

View attachment 1483447
[emoji121]PICHA: Prof. Makame Mbarawa kushoto na Dr. Hussein Mwinyi kulia.


Profesa Mbarawa anakuwa ni mwanachama wa 11 kati ya wanachama waliojitokeza upande wa Zanzibar waliojitokeza kusubili vikao vya juu vya chama kuteua jina moja litakalopeperusha bendera ya chama kwa upande wa Zanzibar...
Namwona kabisa makame akikabidhiwa kijiti huyo husein hiyo wizara bado anaiendesha vizuri tena mno akitolewa hapo sidhani kama kuna anaeweza kuvaa viatu vyake kwa kipindi hichi bado anaimudu.

Kingine hapo zanzibar inatakiwa apewe rais ambae kauli ikitoka huku bara anywee. Naomba niishie hapo nisije chafua hali ya hewa.
 
Acheni ramli chonganishi. Hii ni zamu ya Jecha.

Jecha aliahidiwa akipindua meza atakabidhiwa mikoba awamu itakayofuata.

Tunaenda na Jecha 2020 - 2025.
 
... Kingine hapo zanzibar inatakiwa apewe rais ambae kauli ikitoka huku bara anywee...
👇
...
"Ukija kwa prof. Makame huyu kila mtu anafahamu kutokana na kuwa karibu na Rais JPM na kutokana na utendaji wake, ukaribu na presida hiyo ndiyo inanipa hoja ya kupewa nafasi, hiyo inatokana na presida kutaka kuweka mtu anayemfaham vizuri huku ikiwepo nafasi ya kumtumia kutokana na kumfaham akiwa mtu wake wa karibu ambaye anaweza kumpa maelekezo na nini afanye akiwa pale."
 
[emoji116]
...
"Ukija kwa prof. Makame huyu kila mtu anafahamu kutokana na kuwa karibu na Rais JPM na kutokana na utendaji wake, ukaribu na presida hiyo ndiyo inanipa hoja ya kupewa nafasi, hiyo inatokana na presida kutaka kuweka mtu anayemfaham vizuri huku ikiwepo nafasi ya kumtumia kutokana na kumfaham akiwa mtu wake wa karibu ambaye anaweza kumpa maelekezo na nini afanye akiwa pale."
Asante sana nadhani wewe ni miongoni mwa mlonielewa
 
NI mtu wa ovyo sana.Alishawahi kubaka na anadiriki kumnamga mtoto wa kaka yake ( Fatma Karume) kwa sababu ya maslahi yake binafsi
Wanasema hakuishia kubaka tu, huyo aliyebakwa aliaga dunia, ndio sababu akapelekwa nje ili kuua soo.
 
Back
Top Bottom