Urefu wa kamba yako ni mshahara wako na stahiki nyingine kisheria. Msimlishe maneno Rais Samia

Urefu wa kamba yako ni mshahara wako na stahiki nyingine kisheria. Msimlishe maneno Rais Samia

Naomba niulize maana ya msamiati “Jipimie” imebadilika sikuhizi?
View attachment 2083226
Je, mshahara unajikadiria mwenyewe au uko fixed? Marupurupu unajikadiria mwenyewe ama yapo fixed?


Nachokuomba tu acha kutufanya watoto humu usintaftie Ban.
Na alipotoa tahadhari usile ukavimbiwa alikuwa alikuwa akimaanisha nini? Mtu anaweza kuvimbiwa mshahara na marupurupu yake?
 
Ungekuwa kiswahili umeki master hapa ndipo palikuwa pa kupima comprehension skills zako!
Na alipotoa tahadhari usile ukavimbiwa alikuwa alikuwa akimaanisha nini? Mtu anaweza kuvimbiwa mshahara na marupurupu yake?
Connect the dots now
 
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!

Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
... huo ni mtazamo wako usilamishe kila mtu aelewe ulivyoelewa wewe! Rais alikuwa very clear, nanukuu,

" ... sio kwamba hampati; mnapata lakini jipimieni; jipimie! Kwa mfano kuna lile nililolisema la ujenzi wa meli; kuna kijiajenti huko pembeni kinalipwa milioni 2 dola kwa kila meli. Hiyo sio sawa, sio sawa! Sijui kuna ujenzi wa barabara, fedha itagawiwa kwanza weee barabara ikijengwa inakuwa compromised, viwango vinakuwa compromised ..."

Rais alitakiwa akemee vitendo hivyo in strongest terms possible na sio kuviongelea kwa soft language - 'JIPIMIENI MSIVIMBIWE' maneno ambayo ameya-connect moja kwa moja na fedha za miradi tena kwa mifano. Kinyume chake wewe unataka tuamini alimaanisha "watosheke na mishahara na haki zao nyingine kisheria"; usitufanye wote wajinga humu.
 
Hahahahahahah nilimlaumu sana Ndugai kwa kuomba msamaha wakati alikuwa sahihi kuhoji kile alichohoji! This statement one is beyond normal kutoka kwa amiri jeshi mkuu wa taifa.
Kabisa,kwamba wajipimie Kwa kiasi maana anajua kula wanakula!Basi wale Kwa kiasi🤣🤣
 
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!

Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!

Kwa hiyo rais anajua watu wana vunja sheria anawabembeleza waache?
 
Lakini mshahara haujipimii, unapimiwa kawaambia watu wajipimie🐒
2494275_1598107052096.png
 
Mwinyi yamemshinda zanzibar amebakia kusema uchumi wa bluu ambao haueleweki kwa wananchi wa z'bar hapa ndo umeonesha kinachokusumbua ni mfumo dume siyo kingine
Hiyo rimoti ya msoga itaweza vipi kuongoza nchi kama mshika rimoti mwenyewe aliishia kubembea kule jamaica!
 
... huo ni mtazamo wako usilamishe kila mtu aelewe ulivyoelewa wewe! Rais alikuwa very clear, nanukuu,

" ... sio kwamba hampati; mnapata lakini jipimieni; jipimie! Kwa mfano kuna lile nililolisema la ujenzi wa meli; kuna kijiajenti huko pembeni kinalipwa milioni 2 dola kwa kila meli. Hiyo sio sawa, sio sawa! Sijui kuna ujenzi wa barabara, fedha itagawiwa kwanza weee barabara ikijengwa inakuwa compromised, viwango vinakuwa compromised ..."

Rais alitakiwa akemee vitendo hivyo in strongest terms possible na sio kuviongelea kwa soft language - 'JIPIMIENI MSIVIMBIWE' maneno ambayo ameya-connect moja kwa moja na fedha za miradi tena kwa mifano. Kinyume chake wewe unataka tuamini alimaanisha "watosheke na mishahara na haki zao nyingine kisheria"; usitufanye wote wajinga humu.
Samia atawaua mpaka 2030 mtakoma!! Mkishapewaga na sukari na mashati ya ccm mnaona hiki ndo chama!!! Samia anawajua vzr yuko anaandaa pesa ya sukari na tshirt 2025 hamchomoki
 
M
Hiyo rimoti ya msoga itaweza vipi kuongoza nchi kama mshika rimoti mwenyewe aliishia kubembea kule jamaica!
Mbona alivyokuhonga Sukari na tshirt hukusema bwege wewe!! Leo kulikon !?
 
Samia atawaua mpaka 2030 mtakoma!! Mkishapewaga na sukari na mashati ya ccm mnaona hiki ndo chama!!! Samia anawajua vzr yuko anaandaa pesa ya sukari na tshirt 2025 hamchomoki
... hoja umeianzisha mwenyewe; badala ya kujikita kwenye hoja yako mwenyewe, unaongea upumbavu! Hii inadhihrisha ulichokianzisha ni ujinga. Nimekupuuza.
 
... hoja umeianzisha mwenyewe; badala ya kujikita kwenye hoja yako mwenyewe, unaongea upumbavu! Hii inadhihrisha ulichokianzisha ni ujinga. Nimekupuuza.
Jipuuze kwanza kwa kuwa mjinga unahongwa sukari 1kg na shati unacheeeeka!! Bwege wewe
 
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!

Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!


Wewe ndiye unamlisha Rais maneno bali unajaribu kufanya tafsiri kinyume, yeye alisema; "mbuzi hula sawa na urefu wa kamba yake---- na kuleni msivimbewe", sasa hebu tuambie mtu anawezaje kuvimbewa stahiki zake???!!😱
 
Samia tunae mpaka 2030 afanye vzr ama vibaya!!! Wala hana tabu anajua hii mitaahira Sukari na tshirt vyatosha
 
Back
Top Bottom