Urefu wa kamba yako ni mshahara wako na stahiki nyingine kisheria. Msimlishe maneno Rais Samia

Urefu wa kamba yako ni mshahara wako na stahiki nyingine kisheria. Msimlishe maneno Rais Samia

Sasa wewe mshabiki wa mama ndio unampandikiza maneno hajasema. Ukisema kula kuhusiana na ofisi ya umma kila mtu anajua ni kula hela ya umma. Ni bahati mbaya sana mtu mwenye mentality kama samia amekua rais wa jamhuri. Huu ndio ukweli hata mkibisha.
Mimi siwezi mshabikia mccm hata cku moja kinachonikera ni nyie kuchukua kg1 ya sukari na ma tshirt wakati wa uchaguzi alafu badae mnalalamika acheni unafiki Samia anafanya baya gani ambalo halikufanywa na magufuli,!? Kinachowasumbua ni mfumo dume kitu ambacho sikifagilii!!!! Ccm hakuna mwenye afadhali bahati mby wtz ni mazuzu wanasubiri viberiti ,sukari na tshirt,,,kule urambo Magretth sitta aliwatengenezea Chupi zimendikwa chagua Sitta watu wakachanganyikiwa
 
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!

Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Wewe hapa ndio unamlisha samia maneno. Wapi ulimdikia akisema mishahara au stahiki? Hivi mshahara wa Tanzania unaweza kumfanya mtu avimbiwe? Mwambieni atubu hii dhambi ya kuhamasisha wizi wa mali ya umma la sivyo 2025 hata Ccm watamkataa ili wakubalike kwa wananchi.
 
Samia tunae mpaka 2030 afanye vzr ama vibaya!!! Wala hana tabu anajua hii mitaahira Sukari na tshirt vyatosha
Yaani wewe mhaya hupishani na Tibaijuka anakuja kumuuomba mama Samia aisaidie kagera! Kwa akili hizi nyinyi Wahaya na mkoa wenu mtaendelea kuburuza mkia! Mnapenda sifa za kipumbavu! Na ujuaji kama unaofanya hapa!
 
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!

Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Hivi mfugo wako unapoupeleka machungani na kuufunga kamba, ni wewe unaamua urefu wa kamba au mfugo wako ndio unaamua!?
 
Yaani wewe mhaya hupishani na Tibaijuka anakuja kumuuomba mama Samia aisaidie kagera! Kwa akili hizi nyinyi Wahaya na mkoa wenu mtaendelea kuburuza mkia! Mnapenda sifa za kipumbavu! Na ujuaji kama unaofanya hapa!
Unasemaje we mnyamahanga!!? Mi sina Interest na Samia ila muache apige kazi maana yupo katkat ya kisima cha mataahira wa kitanzania!!! Binadamu kidooogo wanapatkana bukoba tu
 
Ahsante Kwa taarifa...

Wale lakini wasivimbiwe...
 
Wewe hapa ndio unamlisha samia maneno. Wapi ulimdikia akisema mishahara au stahiki? Hivi mshahara wa Tanzania unaweza kumfanya mtu avimbiwe? Mwambieni atubu hii dhambi ya kuhamasisha wizi wa mali ya umma la sivyo 2025 hata Ccm watamkataa ili wakubalike kwa wananchi.
Kwani we umafikiri watu wote wana mshahara wa waalimu!??
 
Ndo akili zako za kitaahira zinavokutuma! Mnyamahanga sawa na ninakwabia endeleeni na huu ujinga wenu ukifika bukoba kama uko majarubani! Mmejaa ujinga wa hali ya juu! Nyinyi ndo binadamu kuliko wote wakati ndo watu wenye majungu,malaya,wanafiki na wachoyo!
Unasemaje we mnyamahanga!!? Mi sina Interest na Samia ila muache apige kazi maana yupo katkat ya kisima cha mataahira wa kitanzania!!! Binadamu kidooogo wanapatkana bukoba tu
 
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!

Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Kiswahili ni kikubwa sana na kila kitu kina tafsiri nyingi
 
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!

Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
2030 ufike na nani? Mama viatu havimtoshi.
 
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!

Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Hata yesu hakueleweka na mpaka Sasa haeleweki ni nani, ni mungu au ni binadamu Kama wewe
 
U
Ndo akili zako za kitaahira zinavokutuma! Mnyamahanga sawa na ninakwabia endeleeni na huu ujinga wenu ukifika bukoba kama uko majarubani! Mmejaa ujinga wa hali ya juu! Nyinyi ndo binadamu kuliko wote wakati ndo watu wenye majungu,malaya,wanafiki na wachoyo!
Unateseka ukiwa wapi mnyamahanga!? Bukoba itakutoa roho!! Unataka tujenge mjini ili iweje wakati tuna kila kitu vijijini nyumba za kisasa,maduka ya jumla yako kijijini,,,hapo mjini kaeni nyie wanyamahanga wala hatuna muda sana napo
 
U
Unateseka ukiwa wapi mnyamahanga!? Bukoba itakutoa roho!! Unataka tujenge mjini ili iweje wakati tuna kila kitu vijijini nyumba za kisasa,maduka ya jumla yako kijijini,,,hapo mjini kaeni nyie wanyamahanga wala hatuna muda sana napo
Unajifariji wewe taahira unafikiri huko hatupajui! Duka gani la jumla huko? Endeleeni na ujuaji na upumbavu ndo mnaouweza!
 
M
Mbona alivyokuhonga Sukari na tshirt hukusema bwege wewe!! Leo kulikon !?
Umekariri!? Sijawahi kuvaa fulani wala kofia ya chama chochote nchini zaidi ya kupiga kura siku ya uchaguzi. Hivi Samia alikuwa anahonga watu tshirt na sukari!? Sikuwahi kujua hili.
 
Back
Top Bottom