- Thread starter
- #61
Mimi siwezi mshabikia mccm hata cku moja kinachonikera ni nyie kuchukua kg1 ya sukari na ma tshirt wakati wa uchaguzi alafu badae mnalalamika acheni unafiki Samia anafanya baya gani ambalo halikufanywa na magufuli,!? Kinachowasumbua ni mfumo dume kitu ambacho sikifagilii!!!! Ccm hakuna mwenye afadhali bahati mby wtz ni mazuzu wanasubiri viberiti ,sukari na tshirt,,,kule urambo Magretth sitta aliwatengenezea Chupi zimendikwa chagua Sitta watu wakachanganyikiwaSasa wewe mshabiki wa mama ndio unampandikiza maneno hajasema. Ukisema kula kuhusiana na ofisi ya umma kila mtu anajua ni kula hela ya umma. Ni bahati mbaya sana mtu mwenye mentality kama samia amekua rais wa jamhuri. Huu ndio ukweli hata mkibisha.