Mama yako ameleta uchumi upi mpaka sasaMwinyi yamemshinda zanzibar amebakia kusema uchumi wa bluu ambao haueleweki kwa wananchi wa z'bar hapa ndo umeonesha kinachokusumbua ni mfumo dume siyo kingine
Na alipotoa tahadhari usile ukavimbiwa alikuwa alikuwa akimaanisha nini? Mtu anaweza kuvimbiwa mshahara na marupurupu yake?Naomba niulize maana ya msamiati “Jipimie” imebadilika sikuhizi?
View attachment 2083226
Je, mshahara unajikadiria mwenyewe au uko fixed? Marupurupu unajikadiria mwenyewe ama yapo fixed?
Nachokuomba tu acha kutufanya watoto humu usintaftie Ban.
[emoji1787][emoji1787]Ifikie mahali mkubali mnaempaka rangi tayari kashajimwagia oil chafu[emoji28]
Connect the dots nowNa alipotoa tahadhari usile ukavimbiwa alikuwa alikuwa akimaanisha nini? Mtu anaweza kuvimbiwa mshahara na marupurupu yake?
Sasa unalalamika nn wakat uliamka mwenyewe baada kuhongwa 1 kg ya sukari ukapewa na shati ukaona ccm ndo yenyewe!! Samia hukumuona pembeni mwa magufuli au ulidhania nini!!Watanzania sio wajinga. Kuna dola nalml wakala wa ujenzi wa meli alilipwa rais alizungumzia kuwa wanapiga madili.
ShwainSasa unalalamika nn wakat uliamka mwenyewe baada kuhongwa 1 kg ya sukari ukapewa na shati ukaona ccm ndo yenyewe!! Samia hukumuona pembeni mwa magufuli au ulidhania nini!!
... huo ni mtazamo wako usilamishe kila mtu aelewe ulivyoelewa wewe! Rais alikuwa very clear, nanukuu,Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Kabisa,kwamba wajipimie Kwa kiasi maana anajua kula wanakula!Basi wale Kwa kiasi🤣🤣Hahahahahahah nilimlaumu sana Ndugai kwa kuomba msamaha wakati alikuwa sahihi kuhoji kile alichohoji! This statement one is beyond normal kutoka kwa amiri jeshi mkuu wa taifa.
Utabaki skeleton ndo ukome kuhongwa sukari 1kg na t.shirt za ccmMjinga ni mjinga tu, ona aibu kutetea uovu.
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Hiyo rimoti ya msoga itaweza vipi kuongoza nchi kama mshika rimoti mwenyewe aliishia kubembea kule jamaica!Mwinyi yamemshinda zanzibar amebakia kusema uchumi wa bluu ambao haueleweki kwa wananchi wa z'bar hapa ndo umeonesha kinachokusumbua ni mfumo dume siyo kingine
Samia atawaua mpaka 2030 mtakoma!! Mkishapewaga na sukari na mashati ya ccm mnaona hiki ndo chama!!! Samia anawajua vzr yuko anaandaa pesa ya sukari na tshirt 2025 hamchomoki... huo ni mtazamo wako usilamishe kila mtu aelewe ulivyoelewa wewe! Rais alikuwa very clear, nanukuu,
" ... sio kwamba hampati; mnapata lakini jipimieni; jipimie! Kwa mfano kuna lile nililolisema la ujenzi wa meli; kuna kijiajenti huko pembeni kinalipwa milioni 2 dola kwa kila meli. Hiyo sio sawa, sio sawa! Sijui kuna ujenzi wa barabara, fedha itagawiwa kwanza weee barabara ikijengwa inakuwa compromised, viwango vinakuwa compromised ..."
Rais alitakiwa akemee vitendo hivyo in strongest terms possible na sio kuviongelea kwa soft language - 'JIPIMIENI MSIVIMBIWE' maneno ambayo ameya-connect moja kwa moja na fedha za miradi tena kwa mifano. Kinyume chake wewe unataka tuamini alimaanisha "watosheke na mishahara na haki zao nyingine kisheria"; usitufanye wote wajinga humu.
Mbona alivyokuhonga Sukari na tshirt hukusema bwege wewe!! Leo kulikon !?Hiyo rimoti ya msoga itaweza vipi kuongoza nchi kama mshika rimoti mwenyewe aliishia kubembea kule jamaica!
Utalia sana mpaka 2030,,mpka utapike sukari na tshirt ulizohongwa bwege weweAcha upumbavu shenzi mkubwa ww
... hoja umeianzisha mwenyewe; badala ya kujikita kwenye hoja yako mwenyewe, unaongea upumbavu! Hii inadhihrisha ulichokianzisha ni ujinga. Nimekupuuza.Samia atawaua mpaka 2030 mtakoma!! Mkishapewaga na sukari na mashati ya ccm mnaona hiki ndo chama!!! Samia anawajua vzr yuko anaandaa pesa ya sukari na tshirt 2025 hamchomoki
Swine kiumbe cha mungu napenda sana nyama yakeShwain
Jipuuze kwanza kwa kuwa mjinga unahongwa sukari 1kg na shati unacheeeeka!! Bwege wewe... hoja umeianzisha mwenyewe; badala ya kujikita kwenye hoja yako mwenyewe, unaongea upumbavu! Hii inadhihrisha ulichokianzisha ni ujinga. Nimekupuuza.
Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!