Hata yesu mwenyewe kuna vitu hakuelewaka kabisa, kama kile kitendo cha kuosha demu magdalena miguu yake ulimwelewa lengo lake?Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Mwambieni ajifunze kutoa kauli zilizonyooka. Mtakuwa mnakuja mitandaoni kumtetea hadi lini na matamko yake yaliyojaa ukakasi na yenye kukosa dira.Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
We bwege acha ujinga kauli ipo wazi kuwa wapige madili kwa kiasi na akatoa mfano wa meli inajengwa wakala alikula dol mil mbili wakati hana kazi. Tumia akili acha upumbavuMwambieni ajifunze kutoa kauli zilizonyooka. Mtakuwa mnakuja mitandaoni kumtetea hadi lini na matamko yake yaliyojaa ukakasi na yenye kukosa dira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefikiri mbali sana na neno lako "jipimie" , Kuna demu alikuwa anapenda kujipimia tukikutana maeneoHawa jamaa wajinga sana. Mtu akishaambiwa ajipimie ina maana ajiamulie mwenyewe. Hiyo ni ruksa ya kuvunja sheria za mishahara na stahiki halali.
Acha upumbavu mwenyewe, majizi makubwa nyie.We bwege acha ujinga kauli ipo wazi kuwa wapige madili kwa kiasi na akatoa mfano wa meli inajengwa wakala alikula dol mil mbili wakati hana kazi. Tumia akili acha upumbavu
Mimi siko hilo kundi mama
... mimi na wewe nani bwege? Unaleta ujinga humu halafu unajadili tofauti na ulichokileta; hujui umeleta mada gani unajadili upumbavu? Jinga kweli kweli!Jipuuze kwanza kwa kuwa mjinga unahongwa sukari 1kg na shati unacheeeeka!! Bwege wewe
Sasa wewe mshabiki wa mama ndio unampandikiza maneno hajasema. Ukisema kula kuhusiana na ofisi ya umma kila mtu anajua ni kula hela ya umma. Ni bahati mbaya sana mtu mwenye mentality kama samia amekua rais wa jamhuri. Huu ndio ukweli hata mkibisha.Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Yesu alieleweka kwa aliowataka!! Ndo maana nilikwambia alikuwa ana kuprogramu kwanzaHata yesu mwenyewe kuna vitu hakuelewaka kabisa, kama kile kitendo cha kuosha demu magdalena miguu yake ulimwelewa lengo lake?
Kwanini yeye hakufafanua?Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
YapMleta mada anajaribu kutakasa kaniki... Jipimie means jimegee uwezavyo
Wakati unachukua kg1 ya sukar nantshirt hukuona!?Sasa wewe mshabiki wa mama ndio unampandikiza maneno hajasema. Ukisema kula kuhusiana na ofisi ya umma kila mtu anajua ni kula hela ya umma. Ni bahati mbaya sana mtu mwenye mentality kama samia amekua rais wa jamhuri. Huu ndio ukweli hata mkibisha.
Kabisa aseeNaomba niulize maana ya msamiati “Jipimie” imebadilika sikuhizi?
View attachment 2083226
Je, mshahara unajikadiria mwenyewe au uko fixed? Marupurupu unajikadiria mwenyewe ama yapo fixed?
Nachokuomba tu acha kutufanya watoto humu usintaftie Ban.
Hatari snMwinyi yamemshinda zanzibar amebakia kusema uchumi wa bluu ambao haueleweki kwa wananchi wa z'bar hapa ndo umeonesha kinachokusumbua ni mfumo dume siyo kingine
Hahahha we jamaa tabu sana! Umemaliza yote! Ila mleta uzi ni chawa anafikiri watanzania ni wajinga maana ya kujipimia utakavyoona inafaa! Kwa hiyo taahira tu atamuunga mkono huyu chawa!Naomba niulize maana ya msamiati “Jipimie” imebadilika sikuhizi?
View attachment 2083226
Je, mshahara unajikadiria mwenyewe au uko fixed? Marupurupu unajikadiria mwenyewe ama yapo fixed?
Nachokuomba tu acha kutufanya watoto humu usintaftie Ban.
Kilaza mkubwa wee! Mshahara unavimbiwa?Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Kwa upeo alionao alitakiwa awe afisa mtendaji wa kata.Sasa wewe mshabiki wa mama ndio unampandikiza maneno hajasema. Ukisema kula kuhusiana na ofisi ya umma kila mtu anajua ni kula hela ya umma. Ni bahati mbaya sana mtu mwenye mentality kama samia amekua rais wa jamhuri. Huu ndio ukweli hata mkibisha.