Urembo ulionishinda mimi.....

Ila heels ni nzuri uvae na kigauni Kifupi afu na mguu uwe kama Chupa ya safari lager kupendeza lazma
 


nashangaa na mm vipo poa nashindwa! hahaa viatu vyake utacheka ufe! yeah mama kikwete ni modern woman had raha!
 
Wewe ni mhenga,vipi badala ya undersketi unavaa nini??enzi zetu hakukua na skin tight.kuruka unacheza netball,maini unayaona live

Sent from my TECNO-N6 using JamiiForums mobile app
 
Aisee hongera sana best kwa kutokubali kuwa mtumwa wa asili yako, hayo mazagazaga uliyoyataja huwa nawashangaa sana hao wayavaayo, mwanamke wangu Mimi siwezi kuruhusu upuuzi huo akaufanya
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Where were you wakati natafuta mke wa kuoa? Doooh I wish...........
 
Haha chezea kuswing wewe, tutavaa tu heels hata kama magoti yanatangulia mbele. Mweeh shikamoo heels
 
hahahaha mie nimeacha kuvaa high heels! nimegain wait bas nakua nahis kisigino kinashake nw navaa midheels tu! ktk vitu vilivyonishinda ni wedges! huez amin huwa naanguka had chini! hahaha!nimegawa sitak kuumia mie!
Sijui kwan nini, sivutiwagi na wedges kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…