Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,583
Watu wengine ukiwaangalia utasema wamelazimishwa vile.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila uzuri ukishapata mpenzi wako huna shida ya kusumbuka sana kuwaangalia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengine ukiwaangalia utasema wamelazimishwa vile.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yategemea na mzigo uloubeba kifuani shoga anguMe mwenzenu kuvaa sidiria sipendi kwa kweli, I love niwe free.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wigi mcharuko usiniue hukuCha ajabu utakuta huko nje una bonge la dude limejikrimu, miguu myeusi kama limevaa socks 😀
Kichwani lina wigi mcharuko
Mafuta ya nazi mazuri ni yale yakutengeneza mwenyeweMafuta ya nazi yaliniletea kama mba vile yani ngozi ya kichwani inatoka toka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wengine ukiwaangalia utasema wamelazimishwa vile.
Ila uzuri ukishapata mpenzi wako huna shida ya kusumbuka sana kuwaangalia.
Haaaa nakuja ticha ndo niliombiwa wazuri kuoaShida zako baki nazo, ila kwa raha nitafute
usijali[emoji23]Princess arian jitoleee kunifundisha shoga ako nami nijue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani mkuu hapa nacheka tyuu lol yaani team artificial Leo tupite mbali wadada jf kila mtu og;afu nyie masponsor msiwe wanafiki vicheche wenu wengi ni fake [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Humu leo kila mtu natural.... Haya bwana...
0653633937mimi pia nazipenda...
ipo siku ntaanzisha Daftari la wapiga kura kwenye Paja moja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu muhimu wote... siku nikipotea wanirudishe kwetu
Sent From my C5 wereva
Utavumilia darasa au ndo utaleta mdomo ufukuzwe kama mie ha ha ha haHiyo ligi ya kupak wanja looh kama kun mwalimu humu anifundishe khaa natia aibu
Kuna binamu yangu huwa anachora wanja unatokea kwenye nyusi unakaribia kugusa sikio, mwenyewe anauita "hawara mshenzi" huwa nacheka mno
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]shog wew sas hiv ni vitendo tu kumbe wapik eeeh[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Utavumilia darasa au ndo utaleta mdomo ufukuzwe kama mie ha ha ha ha
Nami nipo uniweke kwenye hilo darasa sahivi mdomo nauweka plasta
hahahaa lakin kuna wengne zinawapendeza ukibandika zile fupi! sijui ndo nch 8'
Humu leo kila mtu natural.... Haya bwana...
Hizo nzuri lakini tatizo linakuja ukizoea kuacha inakuwa kazi.
Halafu ukiziweka sana zinapunguza eyebrows.
Hahahahahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani mkuu hapa nacheka tyuu lol yaani team artificial Leo tupite mbali wadada jf kila mtu og;afu nyie masponsor msiwe wanafiki vicheche wenu wengi ni fake [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]