Urembo wa nywele za wanawake na haiba yake katika mahusiano

Urembo wa nywele za wanawake na haiba yake katika mahusiano

Ilikuwa moja ya mjadala ulionichukua muda mrefu na mchumba wangu kuliko yote na alikataa kata kata hanyoi, hasuki nywele zake kama nywele zake na wala haachi kununua wigi (for emergence ikitokea). niliamua kuufunga mjadala kwa kukataa mawigi ya hovyo na kusukia uzi ila nikaruhusu kwa shingo upande baadhi ya mawigi, kusuka yebo yebo na kuchana nywele zake(ndio wazo langu pekee lilipita)! Hataenda nje ya hapo ila duh hawa wanawake noma!
 
mhh kutaka nywele uwe na STYLE MOJA all the time INABOA mbona...smtym watu hapa sio kwamba tunapenda marasta sana bt nywele za kiafrika kama zangu hazirefuki kivileee japo unaweza bana lakn mhh sipendi short hair myself,labda niweke mirija,so mtu unaweka weaving kuongeza urefu,na kusuka rasta kuzikuza nywele zako
La msingi ni USAFI WA HZO NYWELE, kuwa selective na style ambazo kila wiki unaweza osha nywele
U'fake ukizidi sio siri inachukiza,..unakuta mtu mweusii af katupia weaving la gold,mhh,au lacewig hzi fake jistari kabisa tunaliona kwenye forehead,haipendezi
yaah point...umeongea kitu kizuri sana, inachotakiwa ni wewe mwenyewe kujipanga kabla ya kwenda salon.
Kabla ya kwenda salon make sure umechagua au kubuni hair style mzuri ambayo utapenda uwenayo kwa wiki moja,mbili,au tatu(maana ziko nyingi) pia ni kweli ukiweka macrazy color kichwani bila kuangalia unafanya kazi gani au unaishi familia gani
ni mbaya sana...tengeneza hair style ambayo utakuwa na amani nayo kwa kila mahala utakapokuwa au kwenda.
 
yaah point...umeongea kitu kizuri sana, inachotakiwa ni wewe mwenyewe kujipanga kabla ya kwenda salon.
Kabla ya kwenda salon make sure umechagua au kubuni hair style mzuri ambayo utapenda uwenayo kwa wiki moja,mbili,au tatu(maana ziko nyingi) pia ni kweli ukiweka macrazy color kichwani bila kuangalia unafanya kazi gani au unaishi familia gani
ni mbaya sana...tengeneza hair style ambayo utakuwa na amani nayo kwa kila mahala utakapokuwa au kwenda.

Totally,style ni nyingi sana pesa ako na muda tu,..napenda weavings the most,easy kusuka,fumua,kuosha na ukimpata msusi mzuri KUPENDEZA NI LAZIMA
 
kwelii shoga,..weaving natural huwa chache af jepesi kama nywele zako halisumbui...
Wazungu ndo masters mbona wa ma'extension,sie tumeletewa tu,

OMG! Ha ha haa...mimi siyo KE mimi ni ME
Back to the topic...ni kweli wazungu au jamii ya wanawake weupe wenye nywele mzuri na ndefu wao ndiyo wanaongoza kwa kwenda kwenye ma salon...sasa jiulize why?
 
Ilikuwa moja ya mjadala ulionichukua muda mrefu na mchumba wangu kuliko yote na alikataa kata kata hanyoi, hasuki nywele zake kama nywele zake na wala haachi kununua wigi (for emergence ikitokea). niliamua kuufunga mjadala kwa kukataa mawigi ya hovyo na kusukia uzi ila nikaruhusu kwa shingo upande baadhi ya mawigi, kusuka yebo yebo na kuchana nywele zake(ndio wazo langu pekee lilipita)! Hataenda nje ya hapo ila duh hawa wanawake noma!

Hongera sana mkuu! wewe ni moja ya wanaume waelewa...hongera pia kwa shemeji yangu kwa kuwa kwake mkweli maana hakutaka unafiki wa fake life. Mkuu,ni vigumu sana kumtenganisha mwanamke na urembo,kama umemruhusu kusuka style za uzi na kushonea weaving basi ni vizuri sana. Amini nakuambia urembo uliyopangiliwa umuweka mwanamke juu na huonekana tafauti.
 
OMG! Ha ha haa...mimi siyo KE mimi ni ME
Back to the topic...ni kweli wazungu au jamii ya wanawake weupe wenye nywele mzuri na ndefu wao ndiyo wanaongoza kwa kwenda kwenye ma salon...sasa jiulize why?

oh kumbe sorry basi,naona una jua mambo ya nywele ndo mana nkajua wewe ni KE
 
Thanks God saiv najikubali the way I am, kipilipili changu aisee nakipaka olive oil kinang'aajee???

Awali nilikichukia sana nikawa natafuta any means kukificha but mwisho wa siku nikaona ulimbukeni tu. Nywele unaihangaikia weeee haikui wala ninj khaaaaa!!!!!

Tupa kule wacha chogo ling'azwe na upara......

C.C walokuwa party!!!!!
 
hata ndefu zikiwa natural zina raha yake, binafsi kuvaa manywele ya watu siwezi najionea shida tu
 
OMG! Ha ha haa...mimi siyo KE mimi ni ME
Back to the topic...ni kweli wazungu au jamii ya wanawake weupe wenye nywele mzuri na ndefu wao ndiyo wanaongoza kwa kwenda kwenye ma salon...sasa jiulize why?

hahahahahahahahahahah naomba muwe mnajitambulisha jinsia jamani si unaona tunavyowachanganya
 
Thanks God saiv najikubali the way I am, kipilipili changu aisee nakipaka olive oil kinang'aajee???

Awali nilikichukia sana nikawa natafuta any means kukificha but mwisho wa siku nikaona ulimbukeni tu. Nywele unaihangaikia weeee haikui wala ninj khaaaaa!!!!!

Tupa kule wacha chogo ling'azwe na upara......

C.C walokuwa party!!!!!

hahahahaha tena kilikupendeza kama flaviana matata vile big up na mimi itabidi niige mfano wako
 
Asilimia kubwa ya wanawake wa Tanzania hawajiamini. Na sio kwenye nyele tu hata ngozi.
 
attachment.php
so sweet!
 
Back
Top Bottom