Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Mimi ninavyo ona ni urembo tu...
Ila uchumba wa miaka mitatu bado unasubiri na amesha pata kazi yake...nakupa miezi sita kama utakuwa hujatangaza ndoa tangaza maumivu
Jipange kuanza upya!
 
uzoefu wangu wa kukutana na Members wa kike wa Hili Jukwaa Pendwa Kumenifanya niwajue Wavaa Vikuku.
Uko vyema sana brother. Mi nimeijua hii mitaa toka February, ila sijakutana na mtu. Hizo tutorials za maujanja yako tuna-download wapi? Inabidi utugawie hizo mbinu na sisi.
 
Apo ujue umalaya wa barabarani kupigwa na baridi Amna anayetaka. Sikuiz nikujianika kwenye mitandao na kuomba ela wanaume na kukutana best na mahotel makumwa.

Wanaliwa sana kuwa making na tabia za binti kujianika kwenye mtandao ni umalaya
 
Hapa kazi tuu ukishindwa pita hivi......... Mpaka mjitambue kama watu wa k /njaro na Arusha
 
Hii notion ya kuvaa shanga mguuni na kuliwa huko ni ya kimapokeo tu. Hakuna ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…