Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

kama alikuwa kikaz Arusha,usiogope sana kwa kule ni kitu halali kabisa yaani ni kitu rasmi ila hilo la vimini ni lake mwenyewe,japo kuwa yawezekana anavaa kimini ili kukifanya kikuku kionekane,hawez vaa akiwa amevaa surual! kwa maeneo mengine kama zanzibar akivaa mguu wa kushoto huashiria mchezo mchafu zaid
KIFUPI kama unaweza mkataza,msaidie kwa kufanya hvo,kuna wengine wanavaa tuu bila kujua maana yake,hivyo tusimfikirie vibaya moja kwa moja,mpe elimu kwanza
 

Pole sana. Je? ana post wapi hizo picha?

Na je? Hudhani kwamba huenda hii ni attention seeking sababu ya kushindwa kwako [baada ya miaka mitatu (3) ya mahusiano] kujitambulisha kwao?
 
Usiwe na wasiwasi sana but kama umemuona kabadilika sana jaribu kumchunguza jicho kama halijaingia mchanga
 
Sema naye mwambie ukweli upendi iyo tabia mpya, kisha mueleweshe akivaa vikuku huwa watu wanamuonaje au anamaanisha nini
 
mwanamke hana uwezo wakuficha tabia yake kwa miez 6 wewe jaribu kumuinginza kidole ukisikia oooooooooh baby aaaaaah ujue Tatar hapo ukikiona kastuka ujue hana michezo hiyo
 
Sema naye mwambie upendi hiyo tabia mpya yawezekana hajui anaona ni fashen
 

Mkuu yawezekana huyo anavaa kama urembo au anamaanisha.. ushauri wangu wakati unamgegeda hebu fanya kama umeteleza ukiona kimya ujue tayari ..akili kichwani.
 
Kumpiga Marufuku hakusaidii.

Kum'0nya haitasaidia pia.

Cha kufanya ni kumwekea 0rder ya "Chupi Ya Chuma" pale kwa fundi Mageti.
 
Hivi kwa nini kila tabia na urembo wa mwanamke unatafsiriwa kuhusiana na mapenzi au ngono?

Shanga, vikuku ni urembo tuu kwa wengi na yeye mwenyewe ukimuuliza vema atakuambia maana yake. Ila epuka kugeneralize maana ya kitu kwa kutumia reference za mtaani utaishia kuacha na kujiumiza moyo. Kule vijijini watoto na mabinti huvaa shanga na ni kawaida kuziona . Why the fuss?
 
''NIPO SO FRUSTRATED''
Usiwe frustrated, fanya uchunguzi taratibu na usitanguliz hisia za kuhukumu kabla ya kuujua ukweli, japo pia unaweza usiujue ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…