wewe shem hizo mbinu unamfundisha nani?
Muone kwanzakaboom
Muone kwanza
Teh ndo maana ukawa unamchekea mume wangu na kumpa madesa ili akupe ruhusa ya kuniona eehshem nahitaji kuonana na wewe kuanzia kesho na kuendelea... Muage Paulo
Mpe mtu pesa then utajua tabia yake halisi.
Mbona hujajitaja?
Mie nimo ndani ya breakfast ha ha ha
Noooow u r talking!
Mkuu hebu jaribu kukugua 0713 kama bado iko safely
Tayali wajanja wameshatoboa ozone layer, so jiandae na Cabon dioxide