Bro samahani, umejiunga na kifurushi gani cha JF kinachokupa hiyo access? Hebu share basi.
Hahaha. Eti wamekihamishia PM. Hawa kina Invizibo bana.Kitufe cha like kipo wapi jamani!!!!!!! anayekiona anielekeze
Ila mbona nyiny mnafata nje hizo shanga? Mwache nae azilete ndan il uache kuchepka.
Kipo sehemu gani mi mbona sikisee!!!!! nielekeze vyemaHahaha. Eti wamekihamishia PM. Hawa kina Invizibo bana.
Kipo PM. Ila hii device nayotumia kwa sasa ina restricted access. Ngoja nimcheki my colleague Kaboom kama yuko ofisini muda huu, atusaidie kuelekeza.Kipo sehemu gani mi mbona sikisee!!!!! nielekeze vyema
Teh teh..Kitufe cha like kipo wapi jamani!!!!!!! anayekiona anielekeze
Mkuu Like inalipiwa siku hizi..Kama haujalipia huwezi kuionaKipo sehemu gani mi mbona sikisee!!!!! nielekeze vyema
Lengo la sidiria ni kufanya yabane na yakae vizuri, labda kama unazungumzia zile za kunyanyua matiti yanakuwa juu juu sanaWanawake wengi wameathirika sana na kuiga.
a. Sidiria za kubana Matiti
B. nguo fupi
c. Kuvaa vikuku
D. Kope za bandia
e. Kuchonga nyusi
F. Kuongeza ukubwa wa makalio na matiti
g. Nywele nyekundu
h. Kutoga vitovu, sehemu za siri I. Cheni za viunoni
J. Uvutaji wa sigara na madawa.
Yote hayo ni mpango wa IBILISI wa kutaka kumharibu mwanamke na kuwa kama bidhaa ifafanayo na sura ya MAJINI na MAPEPO ya kuzimu ili iuangamize ulimwengu.
Kumbuka mwanamke ndiye anayemzaa MWANAMUME na MWANAMKE.
Amen mtumishi, unatengua zikiwa zimevaliwa au?