Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

aisee kumbe!! demu wangu mvaa cheni kiunoni tupa kulee
 
Bwana Yesu asifiwe!

Leo nataka niwafungueni macho kondoo zangu.

Wanawake wengi wamekua wakipenda sana kuvaa shanga viunoni wakiamini ili kuwafurahisha wapenzi wao. shanga ni moja ya vitu vinavyotumiwa sana na waganga wa kienyeji kwny kazi zao.

Hivyo ili kuwashambulia wanawake kwa njia ya mapepo, waganga wengi wa kienyeji ndio watengenezaji wa shanga izo na kuzisambaza madukani kupitia watu wao ambapo huwa wanazinuizia roho za mapepo ya aina mbalmbal kama ifuatavyo:

1. Atakaevaa awe mgumba

2. Atakaevaa awe malaya, kahaba

3. Kwa alyeolewa asidumu katika ndoa

4. Atakaevaa asifanikiwe kiuchumi, mpenda anasa

5. Atakaevaa awe na mashetani

6. Atakaevaa aachike

7. Atakaevaa mfumo wake wa hedhi uvurugike

8. Atakaevaa awe na magomvi ktk na mumewe

9. Atakaevaa aingiwe na roho ya hasira

Hivyo wapendwa wangu unaweza kuona hukuwa na tabia fulani lakini kwa kuvaa ukajikuta unabadilika.Ndo maana ili wakujue umevaa shanga unakua unazini na kila mtu.

USHAURI: Kabla hujavaa shanga peleka kwa MCHUNGAJI Akaziombee ili kutengua hayo manuizo.

Siwezi kuombea nyeemewee coz mi najiombeaga nyemewe zituu zangu na kuzikomboa navunja maagano ya ilikotokea.
 
Si kweli kua shanga zinatengenezwa na waganga wa kienyeji,vijana wengi siku hz hasa maeneo ya kitalii hua ndio watengenezaji wakubwa wa hzo shanga pia huzitumia sana kuweka nakshi kwenye sendo za akina dada
 
Bwana Yesu asifiwe!

Leo nataka niwafungueni macho kondoo zangu.

Wanawake wengi wamekua wakipenda sana kuvaa shanga viunoni wakiamini ili kuwafurahisha wapenzi wao. shanga ni moja ya vitu vinavyotumiwa sana na waganga wa kienyeji kwny kazi zao.

Hivyo ili kuwashambulia wanawake kwa njia ya mapepo, waganga wengi wa kienyeji ndio watengenezaji wa shanga izo na kuzisambaza madukani kupitia watu wao ambapo huwa wanazinuizia roho za mapepo ya aina mbalmbal kama ifuatavyo:

1. Atakaevaa awe mgumba

2. Atakaevaa awe malaya, kahaba

3. Kwa alyeolewa asidumu katika ndoa

4. Atakaevaa asifanikiwe kiuchumi, mpenda anasa

5. Atakaevaa awe na mashetani

6. Atakaevaa aachike

7. Atakaevaa mfumo wake wa hedhi uvurugike

8. Atakaevaa awe na magomvi ktk na mumewe

9. Atakaevaa aingiwe na roho ya hasira

Hivyo wapendwa wangu unaweza kuona hukuwa na tabia fulani lakini kwa kuvaa ukajikuta unabadilika.Ndo maana ili wakujue umevaa shanga unakua unazini na kila mtu.

USHAURI: Kabla hujavaa shanga peleka kwa MCHUNGAJI Akaziombee ili kutengua hayo manuizo.

Umalaya utakuua we mchungaji utakufa na ukimwi balaa wewe.
 
hivi hata hao wamasai wa hapo k.koo wanaotengeneza shanga wooooote ni waganga? wachungaji wengine siku hizi chenga tu
 
Mie nina duka la kutengeneza bidhaa za shanga kama sandals, handbangs, keyholders, buckles, belts na pia waist -beads.
Una maana vijana wangu wanaoifanya hiyo kazi ni waganga pia,
Maana wanawake ndio huja kuzinunua wenyewe!
 
haahaaha! hapana. alafu we *evelyn salt* unapenda kunichokoza!!! kabla hujavaa niambie ili niweze kuziombea na namba zangu: 0786100772, 0673100772, 0757856336

Nlikua sijui kama zina Manuizo, nimeshazivaa sasa ukiziombea zenyewe tu mi nitabaki salama kweli?sio kwamba ntakua nshakua contaminated na hayo makitu ooohhh
 
Back
Top Bottom