Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

wanawake mm ninawapenda na ndo maana ninawapa angalizo. ninyi wenyewe ni mashaidi ktk watu ambao wanasumbuliwa na mapepo na mashetani ni wanawake.

sasa nawapa tu maarifa na cjazuia ila pitisha kwa mchungaj ya kuvaa.

Hivi huwa yana Rangi gani hayo makitu?
 
Teh teh teh Maalim unavyotangaza mapambano hapo kuna watu wanahara hovyo. Nafurahi shekh kusikia hivyo maana nikiwa bored huwa nasomaga tu reply zako kwa makafiri basi roho yangu huwa bardiiiiii kwelikweli.
Wagalatia walisema watakutana wanisomee Injili nipate kichaa.
Nikawauliza mstari gani mtakaosoma wa kumtia muungwana kichaa? Manake mistaru yote iliomo humo ni Mafumbo tu na mipasho.

Wakaanza matusi.
Baada ya kutukana nikawapa mfano wa mstari mmoja kisha nikaomba maana,

Mstari unasema

19"Kwa kuwa mtu awaye yote aliye na kilema hatakaribia; mtu kipofu, au kiwete, au mtu aliye na pua iliyoharibika, au aliye na kitu kilichozidi vimpasavyo mwili,-
19-au mtu aliyevunjika mguu, au aliyevunjika mkono,-
20-au aliye na kijongo, au aliye kibeti, au aliye na kilema cha jichoni, au aliye na upele, au mwenye buba, au aliyevunjika mapu.mbu;-

21-mtu awaye yote wa kizazi cha Haruni kuhani aliye na kilema asikaribie kuzisongeza sadaka za Bwana kwa njia ya moto; ana kilema huyo asikaribie kusongeza chakula cha Mungu wake.

Mambo ya walawi 21:19-21

Nikauliza je! Kwanini andiko linalaani walemavu na waliovunjika makende?
Na makosa yao nini hawa walemavu? Kuzaliwa na Upofu au ulemavu ni dhambi? Na kuvunjika makende kwenye ajali ya baskeli pia dhambi?

Wakaendelea kusali ili nipate kichaa.

Teh teh teh.
 
wanawake mm ninawapenda na ndo maana ninawapa angalizo. ninyi wenyewe ni mashaidi ktk watu ambao wanasumbuliwa na mapepo na mashetani ni wanawake.

sasa nawapa tu maarifa na cjazuia ila pitisha kwa mchungaj ya kuvaa.

Lakini kila siku mnawatoa hayo mapepo bado yanarudi mbona kama usanii fulani ivi kwa nini yawarudie?
 
liar me mbona navaa miguuni since i was a teenager and nothing has happened tabia tu za mtu usizisingizie hizo beads 👋👋
 
Nyie mbona mko hivyo???

Kwa nini mnataka kumharibia mchungaji????


Si kweli kua shanga zinatengenezwa na waganga wa kienyeji,vijana wengi siku hz hasa maeneo ya kitalii hua ndio watengenezaji wakubwa wa hzo shanga pia huzitumia sana kuweka nakshi kwenye sendo za akina dada

Mie nina duka la kutengeneza bidhaa za shanga kama sandals, handbangs, keyholders, buckles, belts na pia waist -beads.
Una maana vijana wangu wanaoifanya hiyo kazi ni waganga pia,
Maana wanawake ndio huja kuzinunua wenyewe!

sikubaliani na wewe, huku kwetu shanga wanaotengeneza ni kina mama wala huo uganga hawahujui.

Wajinga ndio waliwao
 
msifanye utani wanawake ktk ilo, shanga za kuvaliwa kiunoni zina siri kubwa tofauti na zile wanazoweka kwny sendo. ingawa unanunua kwa kijana lkn unapovaa tu imeshabadilika thamani hata huwez kumwonyesha tena yule aliye kuuzia. ZINGATIENI USHAURI KWANI WENGI HAWAJUI UTENDAJI WA KIROHO
 
Kwi kwi kwiiiii...
Pastor katika ubora wake wa kutafuta kondooo. Hapo akishawapata atakuja tena na Uzi.
Wanawake wanao vaaa kikuku mguu wa kushoto kabla ya kuvaa vikuku hvyo wavilete kwanza kwangu niviombee then anatoa number. Anazidi kujiongezea idadi ya kondoo.
 
Back
Top Bottom