Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
yaaani ni matatizo weupeeeeeeeeee kichwaniWazaramo na makonde waoane wao kwa wao, mila,tamaduni zao ni ngumu kuingiliana na makabila mengine, ukitaka kumfaham mzaramo kwa undani nenda kisarawe,kazimzumbwe,chole,masaki,maneromango...utachoka
cheni moja ya gold pale kati hatari sana " shanga nyingi uchafu + ushambaEnzi ya cheni moja ya dhahabu hii wewe unachanganyikiwa na uchafu huo.
Leo usiku watakushishika shangaW.....ra wenzio wewe
Nitakutembelea leo usiku usache kusimulia kesho jfMimi sifanyi kama ugali jf ukitaka kuleta zako utapata unachostahili
tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Acha ushamba wewe! dawa ya moto ni moto. fanya hivi: kanunue shanga kama hizo hizo zake unazoziona kila mara zivae kiunoni ili ziwe zinaonekana yaani awe anaziona. soon utaona matokeo mazuri sanaaaa... wish u all the best.....NAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.
Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Kurembea viatu vya kimasai na kutengenezwa as urembo wa cheni, hereni, bangili
Shanga hizooo.NAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.
Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.
Hahaaaaa we jifanye tu mjanja, teh teh tehKurembea viatu vya kimasai na kutengenezwa as urembo wa cheni, hereni, bangili
Teh teh ujanja gani tena? Au nikuoneshe viatu vyangu vya kimasai?[emoji12] [emoji12]Hahaaaaa we jifanye tu mjanja, teh teh teh
Hahaaa haya banaTeh teh ujanja gani tena? Au nikuoneshe viatu vyangu vya kimasai?[emoji12] [emoji12]
Hivi huyo dada ako yupo?
Na mimi nina wiki nzima sijamtia machoni, sijui kulikoni?Hivi huyo dada ako yupo?
Asipoonekana hadi kesho inabidi tutoe taarifa aiseeNa mimi nina wiki nzima sijamtia machoni, sijui kulikoni?