Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Wazaramo na makonde waoane wao kwa wao, mila,tamaduni zao ni ngumu kuingiliana na makabila mengine, ukitaka kumfaham mzaramo kwa undani nenda kisarawe,kazimzumbwe,chole,masaki,maneromango...utachoka
yaaani ni matatizo weupeeeeeeeeee kichwani
 
Nenda kariakoo kwa wachina umununulie mwambie aongeze idadi ikibidi mvishe au sio mwana
 
Acha ushamba wewe! dawa ya moto ni moto. fanya hivi: kanunue shanga kama hizo hizo zake unazoziona kila mara zivae kiunoni ili ziwe zinaonekana yaani awe anaziona. soon utaona matokeo mazuri sanaaaa... wish u all the best.....
 
Shanga hizooo.
 

Attachments

  • 1453469881936.jpg
    27.2 KB · Views: 91
  • 1453469895312.jpg
    6.7 KB · Views: 78
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…