Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Inapandisha kabisaInatekenya sana, inapandisha kabisa hahahahah we kiboko miss chagga,nahitaji ufafanuzi wa ndani njo pm
Je kwa binafsi yako huwa unazitumiaZinapendezesha, kiuno kinakuwa na mvuto zaidi
Cheni ndo napendaga sana kuliko shanga, ila hata zenyewe kama zina rangi nzuri na muundo mzuri natumiaJe kwa binafsi yako huwa unazitumia
Zinaitwa chachandu kwa wanaojua kuzitumiami ni me mkuu. ila mi najui ni urembo maana dhumuni lake ni kufanya mtu avutie na kupendeza.
Mbona hujaja pm tena tupeane maujanja ya chachandu we mwanaInapandisha kabisa
mmh huko hatariMbona hujaja pm tena tupeane maujanja ya chachandu we mwana
Na tacko na curves ziwepo, huyu mbona kanyooka tu kama lile kabila?Zinapendeza hasa zikiwa chache c kama hizi.
Hapa angalau zimetulia, shape matters!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha uwoga, uwoga wako ndo...........mmh huko hatari
".Simchezo kwenyekugegeda unaweza ukaongea ki lugha chenu apa"
DAH MM MWENZIO NILIOTA NAKABWA NA HUYO DADA BAADA YA KUONA IVYO VTU HAD LEO NIMEINGIA MAJIHujui kufanya mapenzi wewe uchawi wa kitandani ongeza utundu
we zimia tu kikuku kikivaliwa kimoja upande wowote humaanisha alivaa anaharisha.vikivaliwa miguu yote humaanisha mvaaji anaharisha na kukojoa.kwa wanaume hereni ya kushoto kwa wenye maana zao ni mende yaani anapenda mavi,kwa kulia ni mchele wapepetwa huo.kama zikivaliwa hereni mbili maana yake nipige nikupige lala laliwa hilo.karibu pwaniMama weeee!!
Jamani..mbona karibu nizimie kwa tafsiri mnazotoa!