damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Shanga tena[emoji15] bora cheni ya kiuno.
#ni_mtazamo_tuu!
#ni_mtazamo_tuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado inapendeza ila zikiwa grouped together. Striped white and blue is the most I preferredNne je kwani nyingiii.... from ur experience with different colour
Nne tuuuUnataka kuvaa ngapi?
Wacha we.... Jamaa atafaidiNne tuuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Natafutaa [emoji85] [emoji85] anaependaaWacha we.... Jamaa atafaidi
Kiswahili huwa kinaeleweka vzr zaidiYou started a thread for attention or? Vitu kama hivi vya kuuliza wapita njia kweli? No wonder our days in marriage are shorter than of MP's!!
Hahahahaha.... Ulikuwa unazikata mwnyw?Hyo mambo ilinishindaga aisee nlikuwa nikivaa nikienda toilet navua surual unajikuta nmezivuta zimekatika nkaona hii mambo siwezi
SawaKiswahili huwa kinaeleweka vzr zaidi
Acha kuntega basi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Natafutaa [emoji85] [emoji85] anaependaa
Hahhhh aliuziiwa fekiHahahahaha.... Ulikuwa unazikata mwnyw?
Pale nmeelewa nusu tu ujue....Sawa
Njoo tuzijaaribu hizo zako kama ni orijinoHahhhh aliuziiwa feki
Zitakua ORG kwani nimenunua kwa mmasai anaejua kazi yakeNjoo tuzijaaribu hizo zako kama ni orijino
Sasa ndio tuzifanyie uzinduziZitakua ORG kwani nimenunua kwa mmasai anaejua kazi yake
Kumbe unatafuta wa kumvalia? Kaazi ipo [emoji134][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Natafutaa [emoji85] [emoji85] anaependaa
Leo mpaka siku iishe tutaona mengiwatu wanawaza kutinduliwa tu .... hi ni thread ya pili kabla jua halijafika katikati tutatoka kweli.....
Hamna banaaa itakua zilikatika tuuuHa haaa unanikumbusha Bosi moja alikuwa anapenda kutafunia vitu ofisi j3 wafanya usafi wakakuta shanga zimesambaa kwenye floor ofisini. ikawa ushahidi wa wazi kuwa kashaliwa mtu hapa.
Shanga kwa suruali? Shanga zafaa kwa khanga moko wakati wa gemu..Hyo mambo ilinishindaga aisee nlikuwa nikivaa nikienda toilet navua surual unajikuta nmezivuta zimekatika nkaona hii mambo siwezi