Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,718
- 15,347
HAHAHA sasa hyo itakuwa starehe au ni vita aiseeeSasa unavuaje suruali mpk unakata utamu.... Sema tu zilikuwa zinakatika ktk harakati za mambo yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHAHA sasa hyo itakuwa starehe au ni vita aiseeeSasa unavuaje suruali mpk unakata utamu.... Sema tu zilikuwa zinakatika ktk harakati za mambo yetu
Niliachaga toka hyo cku,kwanza nilikuwa najisahau nasema hii nn,nami njuavyo tatu au mbili ndo nzurNi urembo ndio ila kumbuka hata kula kuna utaratibu ukizidisha wavimbiwa, kunywa pia ukizidisha walewa.
Hata huo urembo ukizidishwa unaleta shida pia.
Utakuta mdada mrembo kama wewe amevaa jinsi limemkaa vizuri na kitop chake akiinama tu unaona burungutu la mashanga yamejisokota sokota kama uchafu. Ila umepangilia moja au mbili za kushika mm kaka yako utakaponitunuku tamuu aah inavutia.
Utakuwa mchawi ww co bure na kweli hips yangu 48,lkn kwan zinavaliwa kwenye hips nawe nawe banaUtakua na hips inch 48 sio bure
Ni utamaduni usione soo vaa tu, tena utamaduni mzuri sana ni sawa na chains za gold/silver/bronze ambazo siku hizi zinavaliwa hadi kiunoniJamani hivi uvaaji wa shanga ni ushamba wa kizamanii au ndo maraha? Natamani kuzivaa ila naogopa nitaonekana mshamba na nimezinunua tayari.
Ushauri wenu wa bure na sitaki matusi wala dharau kama vepe unaweza uka pita mdogo mdogo[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Je kama nlikupuruka asbh asbh nkasahau kuzivuaShanga kwa suruali? Shanga zafaa kwa khanga moko wakati wa gemu..
Hahahaaa ndio vichwa vya watanzania tulivyo [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]watu wanawaza kutinduliwa tu .... hi ni thread ya pili kabla jua halijafika katikati tutatoka kweli.....
Hips zikiwa 48 inch maana yake ni direct proportional na Zigo ,hongera bi mkubwa ,hivyo ukivaa ama kuvua suruali ni lazima upate tabu ndio kuishia kukata shangaUtakuwa mchawi ww co bure na kweli hips yangu 48,lkn kwan zinavaliwa kwenye hips nawe nawe bana
HeeeeeeeeeeeeeeeeeeHips zikiwa 48 inch maana yake ni direct proportional na Zigo ,hongera bi mkubwa ,hivyo ukivaa ama kuvua suruali ni lazima upate tabu ndio kuishia kukata shanga
Ama nimekosea ??Heeeeeeeeeeeeeeeeee
Mbona wantishaaa????so unanishaurijeeekwa jina la heshima zinaitwa 'chachandu'
Mbona wantishaaa??? Tuambie basi asili yakeeeSiku ukijua asili ya hizo shanga utaziogopa kama unavyomuogopa nyoka
Mbona naskia moja haina radhaaa according to wanaume.Tafuta ya gold moja kali nyembamba inatosha hayo mashanga mengi kama mpiga ramli waachie waswazi.uchafu
Mm cjui aiseeeeAma nimekosea ??
Senkyu justineMh.
Juzi nikiwa na mamsapu wangu aliniuliza "unapenda siku moja nivae shanga kwa ajili yako kama navyo vaaga bkn? "
Ile kumalizia sentence yake nilikua nasisimka balaa.
Nadhani mnaelewa nilichokimaanisha especially @exceptionallady.
Cha kufanya hapo ni kufanya kama alivyofanya wangu kuepuka migongano na mtuwo.
according to wanaume washambaMbona naskia moja haina radhaaa according to wanaume.
Nokia83 inaonesha jinsi gani huwa unakuaga na vuruguu[emoji87] [emoji87]HAHAHA sasa hyo itakuwa starehe au ni vita aiseee
Teh teh haya mama ,Mm cjui aiseeee
Sio kutisha ndio ukweli wenyewe.Mbona wantishaaa??? Tuambie basi asili yakeee
Quickie huwa ina utamu zaidi unaweza kukuta kanogewa akawa anabembea kwny shangaHAHAHA sasa hyo itakuwa starehe au ni vita aiseee